Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Ilikuwa rahisi kusema mikataba ya wakati wa Jakaya na Benja ilikuwa ya ovyo. Sasa hii ya kwake mwenye mtu "makini" faili hadi kitandani.
Sisi ni mikurupuko fc
 
2020 ni Membe
Watanzania watu wa ajabu sana , kwa hiyo huyo Membe mnamtaka kwa kupitia chama gani?
CCM ya Membe, CCM ya Magufuri na rais yeyote atakaeongoza kupitia CCM hataleta tofauti yeyote ile , mtalia tu kama mnavyolia sasa. We need to get ride of this monster called CCM kwanza otherwise tukae kimya ili dawa ituingie.
 
Mleta Mada sio kwamba Uwongo huu bhana tuache tuendelee kufanya Kazi #Hapa Kazi tu
 
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.

Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.

Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Kwan kile kiporo cha mech tushakicheza au bado na kama tulicheza tokeo vip ni kipigo or
 
Nahisi unaweza kufa na kihoro. Kick ipotee hivhivi? Yaana hapa nilipo nakuwa kama nakuona vile.
Atakutuhumu kuwa unatumika na mabeberu wanaopinga maendeleo yetu! 😛😛😛
 
Pole sana.Mwenye upeo mdogo ni wewe unayeweza kutunga jambo ambalo hata mtoto mdogo wa darasa la kwanza anakugundua .muongo.nimekwambia work on progress wewe unasema financing 2019! Kumeshafanyika mambo mengi sana hadi muda huukwa mfano hii wilaya kuna wataalamu zaidi ya mia moja wa fani mbalimbali wapo site.na kizuri zaidi vibarua wanaotumika ni wengi sana na wote ni wenyeji wakaazi wa hapahapa.
Uganda expects pipeline financing deal by June 2019
 
Huu uzi ni chonganishi kutoka kwa waliokosa bahati ya bomba kupita kwao. Upuuzi mtupu. Kuna kazi nyingi zinendelea hapa Tanzania ikiwemo kujenga Camps za mradi, kulipa fidia nakadhalika. Waacheni waKenya wachangie huu uzi kwa direction wanayoitaka. WaTz kaeni kimya.
 
Back
Top Bottom