Bunge la Ulaya na Neo Colonialism-kiini cha kupinga bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanzania

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171

Bunge la Ulaya limeazimia kuufuta mradi wa bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanga Tanzania.
Sababu za kitoto wanazotoa ati ni uharibifu wa mazingira na haki za binadamu!!

Huu ni uhujumumu wa moja kwa moja kwa uchumi wa nchi za kiafrika zinazotaka kujikomboa katika umasikini kwa kutumia malighafi zilizo katoka nchi zao.

Unafiki wa EU unaonekana wazi kabisa.
Tanzania enzi za Mwalimu Nyerere tulijenga bomba la mafuta la TANZAM, bomba hili linafanya kazi hadi leo hii.
Lakini kwa vile mafuta hayo yanatoka kampuni zao, huko ni kimya kabisa.
Vile vile leo hii EU inalilia bomba la gesi toka Urusi lisizimwe ili nchi zao ziendelee kupata gesi kuendesha uchumi wao.

Nchi hizi za Ulaya, EU, wnapendelea nchi za kiafrika ziwe tegemezi kwao daima dumu.
Tanzania lazima tulaani msimamo huu wa EU na bunge lao.
 
Bunge la Ulaya limeazimia kuufuta mradi wa bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanga Tanzania.
Sababu za kitoto wanazotoa ati ni uharibifu wa mazingira na haki za binadamu!!

Huu ni uhujumumu wa moja kwa moja kwa uchumi wa nchi za kiafrika zinazotaka kujikomboa katika umasikini kwa kutumia malighafi zilizo katoka nchi zao.

Unafiki wa EU unaonekana wazi kabisa.
Tanzania enzi za Mwalimu Nyerere tulijenga bomba la mafuta la TANZAM, bomba hili linafanya kazi hadi leo hii.
Lakini kwa vile mafuta hayo yanatoka kampuni zao, huko ni kimya kabisa.
Vile vile leo hii EU inalilia bomba la gesi toka Urusi lisizimwe ili nchi zao ziendelee kupata gesi kuendesha uchumi wao.

Nchi hizi za Ulaya, EU, wnapendelea nchi za kiafrika ziwe tegemezi kwao daima dumu.
Tanzania lazima tulaani msimamo huu wa EU na bunge lao.
Hao jamaa wenye pua ndefu zilizopinda kwa juu hwafai kuwepo duniani sijui kwanini magaidi wanawakwepa au huwa wanafadhili ugaidi?

Mgogoro wa bomba la mafuta utasababisha mabadiliko ya marais wa nchi husika ama kwa utaratibu au vinginevyo subirini siku inakaribia mtathibitisha hili
 
Hao jamaa wenye pua ndefu zilizopinda kwa juu hwafai kuwepo duniani sijui kwanini magaidi wanawakwepa au huwa wanafadhili ugaidi?

Mgogoro wa bomba la mafuta utasababisha mabadiliko ya marais wa nchi husika ama kwa utaratibu au vinginevyo subirini siku inakaribia mtathibitisha hili
Hii kwa kweli ni vita ya kiuchumi.
Wanataka kutudominate kwa kila kitu.
 
Bunge la Ulaya limeazimia kuufuta mradi wa bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanga Tanzania.
Sababu za kitoto wanazotoa ati ni uharibifu wa mazingira na haki za binadamu!!

Huu ni uhujumumu wa moja kwa moja kwa uchumi wa nchi za kiafrika zinazotaka kujikomboa katika umasikini kwa kutumia malighafi zilizo katoka nchi zao.

Unafiki wa EU unaonekana wazi kabisa.
Tanzania enzi za Mwalimu Nyerere tulijenga bomba la mafuta la TANZAM, bomba hili linafanya kazi hadi leo hii.
Lakini kwa vile mafuta hayo yanatoka kampuni zao, huko ni kimya kabisa.
Vile vile leo hii EU inalilia bomba la gesi toka Urusi lisizimwe ili nchi zao ziendelee kupata gesi kuendesha uchumi wao.

Nchi hizi za Ulaya, EU, wnapendelea nchi za kiafrika ziwe tegemezi kwao daima dumu.
Tanzania lazima tulaani msimamo huu wa EU na bunge lao.
Nawaunga mkono. Hili bomba litafaidisha watawala wakati wananchi wakiteseka. Tena wapige marufuku kabisa.
 
Yes! let it be! Bora traitor mwenye uchungu na nchi yake kuliko traitors wanaouza nchi yetu kwa waarabu kama kina Kinana.
All traitors are focused on negativity and hostile outcomes
"A person who betrays someone or something, such as a friend, cause, or principle."
 
Nimefurahishwa sana na majibu ya Spika wa Bunge la Uganda, na pia Rais wake Yoweri Museveni.
Wamewajibu kwa ushahidi usio na shaka. Na mwisho kabisa Museveni ameahidi kuendelea na mchakato.

Kwa Tanzania sijaona kabisa tamko lao, juu ya huu utoto wa Wazungu na vibaraka wao wachache walio wezeshwa vijisenti vichache kupitia vi NGO's vyao uchwara.!
 
Katafuteni pesa za kulijenga Russia au China, kwanza mmekata kulaani hata uvamizi.
Mtakula mlipopeleka mboga
 
Nimefurahishwa sana na majibu ya Spika wa Bunge la Uganda, na pia Rais wake Yoweri Museveni.
Wamewajibu hao mbuzi kwa ushahidi usio na shaka. Na mwisho kabisa Museveni ameahidi kuendelea na mchakato.

Kwa Tanzania sijaona kabisa tamko lao, juu ya huu utoto wa Wazungu na vibaraka wao wachache walio wezeshwa vijisenti vichache kupitia vi NGO's vyao uchwara.!

Bosi wa mamlaka ya udhibiti na hifadhi ya mazingira (NEMC) amezungumza.
Waziri wa nishati amezungumza pia.
 
Hii kwa kweli ni vita ya kiuchumi.
Wanataka kutudominate kwa kila kitu.
Jpm aliposema kuna vita ya kiuchumi hamkukubali. Leo mnakula uturn kusema hii ni vita ya uchumi, kwani wazungu tuko nao katika ushindani hadi watupige vita vya kiuchumi? Mbona wanatupa arvs, corona vaccines na misaada kadhaa, ingekuwa ni neo colonialism si wasingetupa hata hiyo misaada. Itakuwa ni kweli studies zao zinaonesha mradi utaathiri ikolojia. tusikaze shingo tutaumia kupambana nao kikubwa tuachane na mradi huu na kuzingatia ushauri wao wa kitaalamu
 
Hao jamaa wenye pua ndefu zilizopinda kwa juu hwafai kuwepo duniani sijui kwanini magaidi wanawakwepa au huwa wanafadhili ugaidi?

Mgogoro wa bomba la mafuta utasababisha mabadiliko ya marais wa nchi husika ama kwa utaratibu au vinginevyo subirini siku inakaribia mtathibitisha hili
Kwa Mseveni wamefika. Tutawauzia wachina mafuta. Wasitubabaishe
 
M7 kashaunguruma huko mtu mwenye misimamo kwamba Total wakilegea atatafuta wawekezaji wengine.

Tunahitaji maraisi bold na wenye misimamo sio kila saa kuwaza kukaa kwenye vikao mikono nyuma kusikiliza tuu.

Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
 
Bunge la Ulaya limeazimia kuufuta mradi wa bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanga Tanzania.
Sababu za kitoto wanazotoa ati ni uharibifu wa mazingira na haki za binadamu!!

Huu ni uhujumumu wa moja kwa moja kwa uchumi wa nchi za kiafrika zinazotaka kujikomboa katika umasikini kwa kutumia malighafi zilizo katoka nchi zao.

Unafiki wa EU unaonekana wazi kabisa.
Tanzania enzi za Mwalimu Nyerere tulijenga bomba la mafuta la TANZAM, bomba hili linafanya kazi hadi leo hii.
Lakini kwa vile mafuta hayo yanatoka kampuni zao, huko ni kimya kabisa.
Vile vile leo hii EU inalilia bomba la gesi toka Urusi lisizimwe ili nchi zao ziendelee kupata gesi kuendesha uchumi wao.

Nchi hizi za Ulaya, EU, wnapendelea nchi za kiafrika ziwe tegemezi kwao daima dumu.
Tanzania lazima tulaani msimamo huu wa EU na bunge lao.
Naunga mkono hoja.
Hawa mabeberu na neo colonialism ni watu hatari sana!. Angalia walichomfanya Gadafi na Saddam, usikute hata yule Blaza wangu ni wao!.

Mimi niliwahi kuuliza humu US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
Mwisho wa siku do we know what really happened?. Ni sisi tuu kuletewa ile taarifa kuwa... just gone!.

Hata alipobadili sheria mpya ya madini ili yatufaidie zaidi, niliuliza humu Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts? leo migodi mingapi wame subscribers kwenye sheria mpya?, na madini ni deminishing resources!. Tutakuja kuachiwa mashimo!.

P
 
Bunge la Ulaya limeazimia kuufuta mradi wa bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanga Tanzania.
Sababu za kitoto wanazotoa ati ni uharibifu wa mazingira na haki za binadamu!!

Huu ni uhujumumu wa moja kwa moja kwa uchumi wa nchi za kiafrika zinazotaka kujikomboa katika umasikini kwa kutumia malighafi zilizo katoka nchi zao.

Unafiki wa EU unaonekana wazi kabisa.
Tanzania enzi za Mwalimu Nyerere tulijenga bomba la mafuta la TANZAM, bomba hili linafanya kazi hadi leo hii.
Lakini kwa vile mafuta hayo yanatoka kampuni zao, huko ni kimya kabisa.
Vile vile leo hii EU inalilia bomba la gesi toka Urusi lisizimwe ili nchi zao ziendelee kupata gesi kuendesha uchumi wao.

Nchi hizi za Ulaya, EU, wnapendelea nchi za kiafrika ziwe tegemezi kwao daima dumu.
Tanzania lazima tulaani msimamo huu wa EU na bunge lao.
Hivi sisi tunaweza kufuta miradi yao? Wao wanafuta kama nani?? Kwamba ndo wameshika ufutio wa dunia?? Ndio maana sijwahi kuwakubali hawa nguruwe
 
Back
Top Bottom