Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Source nyingine ni by subscription kama Africa Confidential. Hata ukiwekewa link, huwezi kuisoma.
Endelea kufuatilia

mimi nina subscription AC, lkn nimetafuta habari hii lkn sijaipata.
 
Umesikia kuhusu kuongeza eneo la reserve kwenye Bomba? Ni 30 m on both sodes.
Tz na Ug wanataka kuongeza ili kuweka kuweka miradi mingine siku za usoni. Wazungu wamegoma katakata. Na hiyo 30 m on both sides itakuwa chini ya wazungu. Huwezi kufanya lolote bila idhini yao.
Msidhani kama Wakenya wamelala. They are fighting ti get it back to the original plan.

Hizi sarakasi zetu na investors zinawapa confidence ya kufanikiwa maana tumezidi ukigeugeu.

Time will tell. Unganisha ya kwenye madini na gas. Utapata jibu.

unless you are a damb. kupitisha bomba TANZANIA is not a choice, but a it's chance. TZ has a natural pull factors for the pipeline to pass through her territory. the risk, the cost, the already present port, free from monsoon winds to name a few, give Tanzania an upper hand for the project.
 
mimi nina subscription AC, lkn nimetafuta habari hii lkn sijaipata.
That was an example of a subscription source. There are much more out there. In a few days, this will come out in the mainstream media.
 
unless you are a damb. kupitisha bomba TANZANIA is not a choice, but a it's chance. TZ has a natural pull factors for the pipeline to pass through her territory. the risk, the cost, the already present port, free from monsoon winds to name a few, give Tanzania an upper hand for the project.
Monsoon winds? Seriously?
 
Ohooo.....mabilioni mangapi hapo yameshatumika ya feasibility study...!??

Hapa ndipo taifa linapomuhitaji mtu kama TL.
 
Umesikia kuhusu kuongeza eneo la reserve kwenye Bomba? Ni 30 m on both sodes.
Tz na Ug wanataka kuongeza ili kuweka kuweka miradi mingine siku za usoni. Wazungu wamegoma katakata. Na hiyo 30 m on both sides itakuwa chini ya wazungu. Huwezi kufanya lolote bila idhini yao.
Msidhani kama Wakenya wamelala. They are fighting ti get it back to the original plan.

Hizi sarakasi zetu na investors zinawapa confidence ya kufanikiwa maana tumezidi ukigeugeu.

Time will tell. Unganisha ya kwenye madini na gas. Utapata jibu.
Hata kama umetumwa kuongea shughulisha medula kidogo
 
Believe me litajengwa na nyinyi mnao pinga hamtalielewa kwa kuwa mtakuwa wenda wazimu mitaani walahi
 
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.

Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.

Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Huu ni uongo uliopitiliza kabisa.Huoni aibu kuzusha uongo mkubwa kiasi hiki.unapata nini? mimi nafanya kazi kwenye moja ya wilaya ambapo bomba linapita.Kwa faida yako na wengine wengi uliowapotosha ni kwamba ujenzi wa bomba la mafuta unaendelea tena kwa kasi kubwa sana.Kampuni kadhaa zimeshafanya kazi mbalimbali na magari yamezagaa kila kona yakiwa na nembo za kampuni.hadi miundombinu ya barabara kutoka barabara kuu kuelekea kwenye bomba yote imeshaanza kufanyiwa kazi. guest housesnyingi zimejaa kwa ajili ya wafanyakazi wa huo mradi..na wana kambi zao pia wanakaa huku ujenzi wa kambi yao rasmi eneo la mradi ukiendelea.Kwa harakaharaka yale magari yao ya wafanyakazi hapa wilayani hayapungui ishirini.
wewe jiandae tu kushuhudia uzinduzi wa bomba la mafuta hapa Tanzania
 
Huu ni uongo uliopitiliza kabisa.Huoni aibu kuzusha uongo mkubwa kiasi hiki.unapata nini? mimi nafanya kazi kwenye moja ya wilaya ambapo bomba linapita.Kwa faida yako na wengine wengi uliowapotosha ni kwamba ujenzi wa bomba la mafuta unaendelea tena kwa kasi kubwa sana.Kampuni kadhaa zimeshafanya kazi mbalimbali na magari yamezagaa kila kona yakiwa na nembo za kampuni.hadi miundombinu ya barabara kutoka barabara kuu kuelekea kwenye bomba yote imeshaanza kufanyiwa kazi. guest housesnyingi zimejaa kwa ajili ya wafanyakazi wa huo mradi..na wana kambi zao pia wanakaa huku ujenzi wa kambi yao rasmi eneo la mradi ukiendelea.Kwa harakaharaka yale magari yao ya wafanyakazi hapa wilayani hayapungui ishirini.
wewe jiandae tu kushuhudia uzinduzi wa bomba la mafuta hapa Tanzania
Tatizo katumwa huyu, alikuja JF kipindi cha uchaguzi sasa anaaanza kampeni za 2020.
 
Weka chanzo cha taarifa yako.

Bomba lilishaanza kujengwa siku nyingi na mdogo yupo kwenye huo mradi
NI KWELI KABISA LINAJENGWA TENA KWA KASI YA AJABU SANA.VIVA MAGUFULI VIVAAA.VIVAA.,VIVA AWAMU YA TANO VIVAAA
 
Back
Top Bottom