Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,209
- 162,782
Wapiga dili ndio hao waliosaini huo mkataba.Tulia dawa ikuingie endelea kuwashwa washwa.
Wapiga dili ni mwendo wa vilio awamu hii.
Hapo bado kashifa ya Mchuchuma na Leganga.
Wapiga dili ndio hao waliosaini huo mkataba.Tulia dawa ikuingie endelea kuwashwa washwa.
Wapiga dili ni mwendo wa vilio awamu hii.
Yaani kwako huo upuuzi unaoitwa mkataba ni sawa tu ili mradi wahusika ni ndugu zako? Lumumba kuna kitu mnatumia kufikiri badala ya akili.Kazi mnayo mmekazana kuutingisha mbuyu kucha kuchwa lakini upo tuu wala hautingishiki wala kuangusha jani!
Unataka wapiga dili gani zaidi ya hao waliosaini unyonyaji?Tulia dawa ikuingie endelea kuwashwa washwa.
Wapiga dili ni mwendo wa vilio awamu hii.
Leo ndo nimezinduka usingizini maana tangu nimesikia kuhusu hili bomba na njia linamopita nikajiuliza faida zake akili yangu ililala kabisa. Naikumbuka TAZAMA, nailinganisha na hii hata kama nataka kuamka nalala tena.Wenye akili tulilijua hilo mapema
Una umri gani mkuu ..Miaka 20? Shamba la bibi... Huu umri wangu nikijulisha na 20 sijui nitakua wapi.


Achana Na mibwege akina Sibonike mleta mada Na salary slip ya Chadema they are so stupidNina wasiwasi na source yake ya taarifa. Najua kuna kazi nyingi za utwaaji wa ardhi na mambo mengine yanaendelea. Wathamini wameshapita kwenye mkuza wote sasa ni ulipaji fidia tu.
Kuwa Chadema lazima uwe bwege hawaweki source habari zao stupidTo taarifa kamili unakimbilia wapi?........toa fake news hizo....
Bado uko hospitaliniKazi mnayo mmekazana kuutingisha mbuyu kucha kuchwa lakini upo tuu wala hautingishiki wala kuangusha jani!
Mdogo wako ndio wale wanaochimba mifereji?Weka chanzo cha taarifa yako.
Bomba lilishaanza kujengwa siku nyingi na mdogo yupo kwenye huo mradi
Hawana hela wanatafuta hela za kununulia koroshokuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania.
Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo.
Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania. Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo.
Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Naungo mkono hojaWameanza kushikana mashati? Pogba asimchezee Kaguta..atamuondoa..bingwa la siasa chafu lile..
2020 TUTAMWAGA POMBE#hapakazinabata
#2020twendenamembe
Nadhari juzi uhuru kuna kitu kaenda kumpaka huyu mjamaakuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania.
Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo.
Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania. Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo.
Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Huu sio utaratibu mzuri wa kuacha habari zisizokuwa na source. Moderators watusaidie. Kama ni tetesi iwe tetesi, kama kuna source iwekwe.
Acha kabisa, roho inauma.Una umri gani mkuu ..
Kama ushavuka 55 alafu uje uongezee tena hiyo 20 sidhani kama utakuwa ulimwengu huu![]()
Unafikiri huwa hatukuoni unapoandika mahabari yako ya Lumumba ambayo haya source..?? Leo unaulizia source Mwanasheria feki/uchwara.Huu sio utaratibu mzuri wa kuacha habari zisizokuwa na source. Moderators watusaidie. Kama ni tetesi iwe tetesi, kama kuna source iwekwe.