kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
Mpango wa vijana wa ufipa kwenda kumpokea airport umekufa!Team Membe habari yako mkuu .
Mpango wa vijana wa ufipa kwenda kumpokea airport umekufa!Team Membe habari yako mkuu .
Kama lissu!Bado uko hospitalini
Ova
Fully primitive mjini kitambo sio Mchunga ng'ombeKaguta Namba mbaya sana.
Itakuwa kuna kitu pia wameropoka cha maudhi maana hawachelewi kuropoka
Kama mzungu yupo lzm lipite KenyaHaiwezi kuzuia kuhamishia Kenya kama madai mapya ya Tanzania yatakuwa na gharama kubwa kuliko kuhamisha. Hapa kuna mkono wa makumpuni makubwa na watoa fedha.
Fedha za wawekezaji bado mazungumzo yanaendelea. Limezuka suala ka Ardhi pia. Tanzania na Uganda zinataka kuongeza zile mita 30 kila upande ili kuwezesha miradi mingine. Gas bila shaka. Wazungu hawakubali hilo. Wanataka hizo hizo 30 na wamiliki wao.
Haaahaaa...atawapeleka DRC. Sio presidential material yule. Aende zake ubunge wa MtamaNacheka sana hii kauli mbiu kazi na bata, na wabongo tunavyopenda starehe, bas twende na membe
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.
Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
kazi na bata bwana huwezi kujenga viwanda hadi kwenye makazi ya watuNacheka sana hii kauli mbiu kazi na bata, na wabongo tunavyopenda starehe, bas twende na membe
Kweli maana hivi vyerehani ni kelee mtaani eti ukiuliza kiwandakazi na bata bwana huwezi kujenga viwanda hadi kwenye makazi ya watu
Atamtengenezea jiwe bifu hata aminiKaguta Namba mbaya sana.
Uongezaji ama upunguzaji wa hizo mita 30 unahusiana vipi na Kenya? Manake naona hapa unasema ishu ni kati ya wazungu upande mmoja na Uganda +Tanzania upande mwingine.. Hakuna pande tatuUmesikia kuhusu kuongeza eneo la reserve kwenye Bomba? Ni 30 m on both sodes.
Tz na Ug wanataka kuongeza ili kuweka kuweka miradi mingine siku za usoni. Wazungu wamegoma katakata. Na hiyo 30 m on both sides itakuwa chini ya wazungu. Huwezi kufanya lolote bila idhini yao.
Msidhani kama Wakenya wamelala. They are fighting ti get it back to the original plan.
Hizi sarakasi zetu na investors zinawapa confidence ya kufanikiwa maana tumezidi ukigeugeu.
Time will tell. Unganisha ya kwenye madini na gas. Utapata jibu.
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.
Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Pogba atapigwa kote koteWameanza kushikana mashati? Pogba asimchezee Kaguta..atamuondoa..bingwa la siasa chafu lile..
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.
Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.