Walikuwa na Meremeta, si umeona wameifanyia nini...
ule si walisema wajeshi na hatiaye wakauuza kifisadi. Huu ni wakati wa kuanza mambo upya jamani, tutaendelea kunyonywa na hawa wazungu hadi lini? hao wazungu ndio wanafanya ufisadi wa hali ya juu zaidi ni vile tu hatujui wanatudanganya kitaalam.
Hakuna jinsi tukamiliki migodi yetu, tukazalisha, kusafisha na kuuza wenyewe?