Leo asubuhi nilikutana na hawa watu mpaka nikataka niweke Uzi humu. Mmoja ana Suzuki Kei mwingine Vitz wanaendesha 30kph asubuhi watu tunawahi kutafuta hela. Mbaya zaidi dual carriageway mmoja Yuko kulia mwingine kushoto wako sambamba!Wakubwa tafiti ndogo hawa majamaa, wanaendesha magari kama mabovu vile pole poleeee hata kama barabara nyeupe mnarundika foleni ndefuuuu, kumbe mbele kuna IST sijui raumu upuuzi mtupu.
Rekebisheni driving zenu bana mnaboa sana
Wanaboa sana kwa kweli sasa ukute kwnye taa sijui huwa wanalala hawa jamaa mpk mnaanza kupiga honiii ndo wanaanza kusogeaLeo asubuhi nilikutana na hawa watu mpaka nikataka niweke Uzi humu. Mmoja ana Suzuki Kei mwingine Vitz wanaendesha 30kph asubuhi watu tunawahi kutafuta hela. Mbaya zaidi dual carriageway mmoja Yuko kulia mwingine kushoto wako sambamba!
Mkuu, hawa jamaa ni shida kweli siku hizi.Leo asubuhi nilikutana na hawa watu mpaka nikataka niweke Uzi humu. Mmoja ana Suzuki Kei mwingine Vitz wanaendesha 30kph asubuhi watu tunawahi kutafuta hela. Mbaya zaidi dual carriageway mmoja Yuko kulia mwingine kushoto wako sambamba!
Au wanavuta mda ili wapate pesa ndefu
Hamza unazingua! Tofaut ya Bolt na Taxify ni ipi?Wakubwa tafiti ndogo hawa majamaa, wanaendesha magari kama mabovu vile pole poleeee hata kama barabara nyeupe mnarundika foleni ndefuuuu, kumbe mbele kuna IST sijui raumu upuuzi mtupu.
Rekebisheni driving zenu bana mnaboa sana