Wakati wa bajeti ya Magufuli wabunge walilalamikia foleni za Dar. Nikajua wamejipanga vizuri
kumuuliza Mama Mtambuka juu ya NHC na ujenzi wa maghorofa POSTA bila nyumba hizo kuwa
na mahegesho kabisa/ya kutosha idadi ya ghorofa zinazobebwa juu.
Mf. Maeneo ya Mosque, Bustani-India St, Aggrey na kitumbini leo huwezi kupata parking masaa
ya kazi na bado majengo yanajengwa kama uyoga na hayana parking au parking hazitoshi kabisa.
Hata ukiwa na barabara zinapita mbinguni, kama hakuna eneo la kupark magari bado foleni
zitakuwa pale pale.
Je, Mama Mtambuka anatuambia nini sisi wakazi wa Dar juu ya mipango miji (POSTA)?
kumuuliza Mama Mtambuka juu ya NHC na ujenzi wa maghorofa POSTA bila nyumba hizo kuwa
na mahegesho kabisa/ya kutosha idadi ya ghorofa zinazobebwa juu.
Mf. Maeneo ya Mosque, Bustani-India St, Aggrey na kitumbini leo huwezi kupata parking masaa
ya kazi na bado majengo yanajengwa kama uyoga na hayana parking au parking hazitoshi kabisa.
Hata ukiwa na barabara zinapita mbinguni, kama hakuna eneo la kupark magari bado foleni
zitakuwa pale pale.
Je, Mama Mtambuka anatuambia nini sisi wakazi wa Dar juu ya mipango miji (POSTA)?