Chanzo cha Foleni za Dar ni Trafiki na Misafara isiyo na ulazima

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
1701244479307.png
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifuatilia hali mbaya ya Foleni hasa nyakati za Jioni na Asubuhi, chanzo kikubwa cha Foleni kimekuwa ni utaratibu mbovu wa Trafiki kuongoza Magari ya upande mmoja kwa muda mrefu wakati mwingine hadi nusu saa Saa moja kwa upande mmoja.

Pia, Trafiki husimamisha Magari ya Watu binafsi, Malori na Mabasi ya Abiria ili tu Viongozi wanaotoka nyumbani kwao au mafisini wapite bila kujali baadhi ya Magari Binafasi yanaweza kuwa na Wagonjwa au watu wenye haraka pia. Jambo ambalo sio sawa. Misafara mingine huwa haina ulazima wa kusimamisha Magari.

Lakini pia kuna suala la Trafiki kufanya kazi kwa maelekezo ya "Wakubwa" unakuta Kiongozi anatoka Posta Mpya, anasimamisha Magari kutoka Morocco hadi Mwenge ili apite, kusema ukweli sio sawa kabisa. Ifike wakati baadhi ya Viongozi wakuu kama Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu, Wakuu wa Majeshi au Spika wawe wanatumia Helicopter wakiwa Dar ili kupunguza hiyo misongamano.

Viongozi watambule watu waliowachagua nao wana uhitaji wa muda na uharaka wa mambo yao sio wao tu ndio wenye haki hiyo.
 
View attachment 2828354
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifuatilia hali mbaya ya Foleni hasa nyakati za Jioni na Asubuhi, chanzo kikubwa cha Foleni kimekuwa ni utaratibu mbovu wa Trafiki kuongoza Magari ya upande mmoja kwa muda mrefu wakati mwingine hadi nusu saa Saa moja kwa upande mmoja.

Pia, Trafiki husimamisha Magari ya Watu binafsi, Malori na Mabasi ya Abiria ili tu Viongozi wanaotoka nyumbani kwao au mafisini wapite bila kujali baadhi ya Magari Binafasi yanaweza kuwa na Wagonjwa au watu wenye haraka pia. Jambo ambalo sio sawa. Misafara mingine huwa haina ulazima wa kusimamisha Magari.

Lakini pia kuna suala la Trafiki kufanya kazi kwa maelekezo ya "Wakubwa" unakuta Kiongozi anatoka Posta Mpya, anasimamisha Magari kutoka Morocco hadi Mwenge ili apite, kusema ukweli sio sawa kabisa. Ifike wakati baadhi ya Viongozi wakuu kama Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu, Wakuu wa Majeshi au Spika wawe wanatumia Helicopter wakiwa Dar ili kupunguza hiyo misongamano.

Viongozi watambule watu waliowachagua nao wana uhitaji wa muda na uharaka wa mambo yao sio wao tu ndio wenye haki hiyo.
Siyo kweli, sababu hizo zinachangia kwa kiasi kidogo sana kuwepo kwa tatizo la foleni za barabarani.
Sababu kuu kabisa ya kuwepo kwa tatizo kubwa la foleni kubwa za barabarani Dsm na Tz kwa ujumla ni kutokana na kuwepo kwa miundombinu ya barabara iliyo mibovu, duni, hafifu na iliyo michache sana iliyosababishwa na kukosekana kwa Mipangomiji Imara. Kuna janga la KIFO CHA MIPANGOMIJI nchini Tz na Afrika yote kwa ujumla.
 
Yaani hii picha inanisikitisha sana. Hebu fikiria wewe ni mgonjwa na umepanda daladala ukakosa kiti unawahi hospitali, hapo unawaza foleni nyingine ya hospitali inakungoja, yaani unaumwa mara mbili kabla ya kukutana na daktari bado foleni ya kipindi cha kurudi nyumbani na hapo uwe na bahati ya kumudu gharama za matibabu na dawa. Eh Mungu tusaidie wana wako!
 
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifuatilia hali mbaya ya Foleni hasa nyakati za Jioni na Asubuhi, chanzo kikubwa cha Foleni kimekuwa ni utaratibu mbovu wa Trafiki kuongoza Magari ya upande mmoja kwa muda mrefu wakati mwingine hadi nusu saa Saa moja kwa upande mmoja.

Pia, Trafiki husimamisha Magari ya Watu binafsi, Malori na Mabasi ya Abiria ili tu Viongozi wanaotoka nyumbani kwao au mafisini wapite bila kujali baadhi ya Magari Binafasi yanaweza kuwa na Wagonjwa au watu wenye haraka pia. Jambo ambalo sio sawa. Misafara mingine huwa haina ulazima wa kusimamisha Magari.

Lakini pia kuna suala la Trafiki kufanya kazi kwa maelekezo ya "Wakubwa" unakuta Kiongozi anatoka Posta Mpya, anasimamisha Magari kutoka Morocco hadi Mwenge ili apite, kusema ukweli sio sawa kabisa. Ifike wakati baadhi ya Viongozi wakuu kama Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu, Wakuu wa Majeshi au Spika wawe wanatumia Helicopter wakiwa Dar ili kupunguza hiyo misongamano.

Viongozi watambule watu waliowachagua nao wana uhitaji wa muda na uharaka wa mambo yao sio wao tu ndio wenye haki hiyo.
Tanzania tunaongozwa na viongozi wasiojali utu na thamani ya maisha ya wengine.

Polisi karibia wote ni robot
 
Back
Top Bottom