Boko Haram wateka wasichana wengine 8

Boko Haram wateka wasichana wengine 8

Status
Not open for further replies.
Punguza speed kwanza.

Twende pole pole.

Joseph kony of Uganda with his lord resistance army anaebaka wanawake kila siku na kuingiza watoto kwenye jeshi la wokovu ili asimamishe amri kumi za yesu kristo anauwakilisha ukristo kweli ama si kweli??

Mel ya kwanza kuja kuchukua watumwa pale ghana mababu zetu na kuwapeleka ulaya kuwauza iliitwa jina la jesus ambae ni mungu wako mzungu kweli ama si kweli??

Twende pole pole...
Ndiop maana watanzania huwa tunashindwa mitihani. unaulizwa swali badala ya kutoa majibu unauliza swali. Umeuliza maswali mazuri sana lakini kabla sijajibu ugethibitisha au kukanusha kwanza facts nilizomhainishia huyo KATANI kwanza kama umeamua kuwa AMICUS CURIE wake au kumpa PRO BONO legal aid
 
Ndiop maana watanzania huwa tunashindwa mitihani. unaulizwa swali badala ya kutoa majibu unauliza swali. Umeuliza maswali mazuri sana lakini kabla sijajibu ugethibitisha au kukanusha kwanza facts nilizomhainishia huyo KATANI kwanza kama umeamua kuwa AMICUS CURIE wake au kumpa PRO BONO legal aid

Mjinga hujibiwi namna ile.

Jibu keshapata yule labda wewe ndiye ulieshindwa kuelewa.
 
Jiulize kwanza hilo ni agano gani na ufafanuzi wake katika agano jipya unasemaje! Biblia sio ya kukimbilia aya na kuisoma pekee kama kuruwani

Kumbe Andiko lenu lina Versions Mbali Mbali??

Kumbe huwa linapitwa na wakati ndio kwa maana mna edit??

Sasa hayo ni maneno ya mungu au maneno ya mzungu??
 
Allah kasema tuwauze wanawake hawatakiwi kusoma kwa mjibu wa mtumishi wake Abubakar shakau

Alshabab + Boko haram wanaendelea kutimiza maandiko yao, bado UAMSHO sijui watakuja na staili gani?
 
Kumbe Andiko lenu lina Versions Mbali Mbali??
Kumbe huwa linapitwa na wakati ndio kwa maana mna edit??
Sasa hayo ni maneno ya mungu au maneno ya mzungu??

Sikuja kuitengua torati bali nimekuja kutimiliza
 
Siku ya hukumu Mungu hataangalia kama uliua itakula kwako bila kujali wewe ni boko haramu,delta force ama Navy seal.
Hataangalia kama ulitumwa na osama bin laden ama ulitumwa na george bush ama obama.
Hawa ni watoto wasio na hatia waliouawa kwa makombora ya wamarekani.
r-AFGHANISTAN-AIR-STRIKE-KILLS-CHILDREN-large570.jpg


Siungi Mkono mauaji ya watoto na wasio na hatia. Lakini kwenye picha hii nimeshangaa kuona watoto wako soft, hawana jeraha, labda walikufa kwa bomu la sumu
 
sasa alipokuja kutimiliza ndio kawaambieni kuwa mufungishe ndoa za jinsia moja au ndoa hizo wanadamu na wanyama??

Tujuzane.

Unatakiwa uweke verse za Bible zinazosema ushoga na kuoa mbwa vinaruhusiwa na sio kutumia mashetani wa magharibi kusema huo uchafu umeruhusiwa. Bible yangu inaonesha Sodoma na Gomola walichomwa moto kwa sababu ya ushoga
 
Kumbe Andiko lenu lina Versions Mbali Mbali??

Kumbe huwa linapitwa na wakati ndio kwa maana mna edit??

Sasa hayo ni maneno ya mungu au maneno ya mzungu??

Unaposema Mungu si mzungu una maanisha nini? Yesu ni Myahudi, alikuja kupitia kabila la Kiyahudi ingawa hana baba. Au ulitaka aje kupitia kabila lenye Roho mbaya la Kiarabu?
 
mzee wa upako anaweza kutumia aya ya kutoka katika kitabu cha hesabu aliyoiweka kahtan kufanya kama walivyofanya boko haramu,kweli si kweli?

ni kwamba tu hatutaki kuifanya hii thread kuwa ya kidini zaidi kwa kuweka aya za bibilia zinazokua na misimamo ya ndivyo sivyo.

Kuna maelfu ya aya mkuu za bible ambazo ni very extreme na christian hardliner yeyote anaweza kuzitumia kujustify unyama,umemsahau kibwetere,ama david koresh?

mkuu hizi dini kuna watu fyatu na timamu wengi nao wapo kwa dini wakizitumia kukamilisha mambo yao na uovu wao.

cha kushangaza ni waislamu kuunga mkono uovu na kila jinga linalofanywa nao hao wanaotumia uislam kwa manufaa yao akina Boko Haram na Al shabab!

Uzuri wa ukristo ikitokea mafyatu kuutumia ukristo kwa maslahi yao, kamwe huwezi ona akiungwa mkono na wakristo!
 
Wacha kunyambua nyambua maandiko kama mwanamke anachambua mchele!

Toa andiko MOJA KWA MOJA KWENYE KITABUA KIKUU KAMA MFANO HUU HAPA!.

HESABU 31.15-18

15 Musa akawauliza, Je! Mmewaponya wanawake wote hai?-

16-Tazama, hawa ndio waliowakosesha wana wa Israeli, kwa shauri la Balaamu, wamfanyie Bwana dhambi katika hilo jambo la Peori, na kwa hivyo pigo lilikuwa katika mkutano wa Bwana.-

17-Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.-

18-Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.-

NYIE mmepewa ruksa ya kuuwa wanamme WOTE! na wanawake wote ambao sio BIKRA! na mmepewa ruksa ya KABAKA WATOTO WADOGO! Tena bila kutaja umri!!

ANDIKO LA MASHETANI NI HATARI KULIKO BOKO HARAMU.

Kahtaan najua unafahamu mtiririko wa Bible lakini ni kiburi tu!. Kabla ya Yesu kuja watu walikuwa gizani, na ndio lengo kubwa la yeye kuja, alikuja kuwakomboa wanadamu kutoka gizani. Utasoma kuwa wakati ule wanawake walikuwa wanapondwa mawe wakikutwa wamedhini, lakini yeye aliwaambia mambo hayaendi hivyo, mwenye mamlaka ya kuukumu ni Mungu pekee maana yeye anaona hadi yaliyopo moyoni,. Sasa unapokomaa na vifungu ambavyo kwa mujibu wa mafundisho ya Yesu ni none sense unakuwa unazeesha key board yako bure.

NB: Hayo uliyoaandika ndiyo yaliyo mleta Yesu kuyasahihisha, vinginevyo hakutakiwa kuja. Yesu anasema amekuja kwa ajili ya walio waovu
 
Unaposema Mungu si mzungu una maanisha nini? Yesu ni Myahudi, alikuja kupitia kabila la Kiyahudi ingawa hana baba. Au ulitaka aje kupitia kabila lenye Roho mbaya la Kiarabu?
mkuu una uhakika wayahudi hawana Roho mbaya? Angalia halaiki ya kipalestina inavyouawa kila siku na majeshi ya kiyahudi, mahaba yakizidi sana hufunika busara!
 
yap,nakubali kuwa wakristo wamegundua bunduki na silaha zote za maangamizi ya kuua wanadamu.wakristo ndo wamepiganisha vita ya kwanza,ya pili na kupelekea mauaji ya mabilioni ya watu na watapiganisha tena vita vya tatu.wakristo ndo watakua mwanzo wa dunia hii kuteketea,wewe unatoka povu na boko haramu?.

Boko haramu ni just a small time nuisance(sp?).

BH are Satan incarnate and believers of a certain fictitious deity of Saudi Arabia. We Christians created even the Coputer you are using, haikuteremshwa na Allah. Hata kasimu unako katumia kametengenzwa na sisi, na wala Allah hana ubavu wa kushisha hizo. Ndio maana nyie mtabakia kuwa wafuasi wetu mpaka siku ya mwisho. Poleni sana wafuasi wa dini ambayo haina jema zaidi ya kuharibu mambo mema.

Hakika mtalipa dhambi zenu zote mnazo fanya hapa duniani. ENDELE KUTETEA BH kwani wanafanya kazi ya Allah na Muhammad.
 
Unaposema Mungu si mzungu una maanisha nini? Yesu ni Myahudi, alikuja kupitia kabila la Kiyahudi ingawa hana baba. Au ulitaka aje kupitia kabila lenye Roho mbaya la Kiarabu?

sasa nani kakuambia kuwa ni mungu ni mzungu??

hivi mtu na akili yako unawezaje kuliafiki suala hilo??
 
Hujielewi.....

As long as you are still living in the "box", you will never see me. Come out and emancipate yourself from mental slavery and be free in this beautiful world. Why are you muzzrattagan incarcerating yourself?
 
BH are Satan incarnate and believers of a certain fictitious deity of Saudi Arabia. We Christians created even the Coputer you are using, haikuteremshwa na Allah. Hata kasimu unako katumia kametengenzwa na sisi, na wala Allah hana ubavu wa kushisha hizo. Ndio maana nyie mtabakia kuwa wafuasi wetu mpaka siku ya mwisho. Poleni sana wafuasi wa dini ambayo haina jema zaidi ya kuharibu mambo mema.

Hakika mtalipa dhambi zenu zote mnazo fanya hapa duniani. ENDELE KUTETEA BH kwani wanafanya kazi ya Allah na Muhammad.

Mabomu ya nyuklia na silaha zimetengenezwa na wakristo wayahudi au waislam??

Nadhani muasisi wa hivyo vitu ndie muovu zaidi,na sie mtumiaji..

Besides ni waislam gani hasa unaorefer kuwa ni watumiaji wa hizo silaha?
 
Mabomu ya nyuklia na silaha zimetengenezwa na wakristo wayahudi au waislam??

Nadhani muasisi wa hivyo vitu ndie muovu zaidi,na sie mtumiaji..

Besides ni waislam gani hasa unaorefer kuwa ni watumiaji wa hizo silaha?

Kwani bomu linajilipua lenyewe au WAISLAMU WA BH ndio wanayatumia? Tumia akili unapo weka post.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom