kajirita
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,575
- 637
haijalishi,hata mzee wa upako anaweza kuanzisha movement ya kutaka nchi itawaliwe kwa amri kumi za moses na wasiokubali wawe attacked,but huo ni msimamo wake sio msimamo wa wakristo wote.
Haijalishi!!?
Mie naona unapotosha tu hapa kwa hoja za kitoto!
Tofauti ni kwamba mzee wa upako akianzisha hizo movement anazianzisha kinyume na mafundisho ya Biblia takatifu!
Lakini bokoharam wanatumia Qur'an 'kurasimisha' unyama wao!!!
Kweli si kweli!!?