Kumbe Andiko lenu lina Versions Mbali Mbali??
Kumbe huwa linapitwa na wakati ndio kwa maana mna edit??
Sasa hayo ni maneno ya mungu au maneno ya mzungu??
Na mungu wao pia ana tabia ya kujibadilisha tabia na jina pia.
Wakati ule anajiita YEHOVA alitoa ruhusa ya kuuwa na kubaka watoto wachanga. Na pia aliruhusu kudhulumu mali na kuuwa na kuchinja watu ovyo.
Mfano mmoja ni huu hapa.
HESABU 31 :16
Tazama, hawa ndio waliowakosesha wana wa Israeli, kwa shauri la Balaamu, wamfanyie Bwana dhambi katika hilo jambo la Peori, na kwa hivyo pigo lilikuwa katika mkutano wa Bwana.-
17-Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.-
ALIPOJIGEUZA JINA NA KUJIITA YESU AKAANZA KUJIFANYA MPOLE!
Na kuwaambia wagalatia eti wanywe pombe tu. Lkn msaidizi wake PAULO AKAONA WAGALATIA WANAKULA BURE!
Akaona Bora na yeye apate japo Wanakondoo kidogo wa kujipozea AKASEMA.
1 WAKORINTO 9
Ni askari gani aendaye vitani wakati wo wote kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye mizabibu asiyekula katika matunda yake? Au ni nani achungaye kundi, asiyekunywa katika maziwa ya kundi?
7 Je! Ninanena hayo kwa kibinadamu? Au torati nayo haisemi yayo hayo?
8 Kwa maana katika torati ya Musa imeandikwa, Usimfunge kinywa ng'ombe apurapo nafaka. Je! Hapo Mungu aangalia mambo ya ng'ombe?
9 Au yamkini anena hayo kwa ajili yetu? Naam, yaliandikwa kwa ajili yetu; kwa kuwa alimaye nafaka ni haki yake kulima kwa matumaini, naye apuraye nafaka ni haki yake kutumaini kupata sehemu yake.
10 Ikiwa sisi tuliwapandia ninyi vitu vya rohoni, je! Ni neno kubwa tukivuna vitu vyenu vya mwilini?
HAPO NDIPO WANAKONDOO WANAPOVULIWA CHUPI NA WACHUNGAJI KILA SIKU! Na Hao maaskofu wakavuna vilivyoko mwilini mwao!
Ukristo ni janga kubwa mno.