FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Hata sielewi maana sijui nini unaongea, umeambiwa waliotekwa wamekosa nini? dhambi hii inakufuata hapo ulipo
Kwani Boko Haram wamekosa nini?
Hata sielewi maana sijui nini unaongea, umeambiwa waliotekwa wamekosa nini? dhambi hii inakufuata hapo ulipo
Duh! Wewe ni binadamu kweli au jini? This is simply satanic!
Kwani Boko Haram wamekosa nini?
Unakumbuka isue ya kapuya??Baada ya 200 tuliosoma asubuhi, wengine wanane? kwa hiyo jumla ni 208?
Au siyo?
Mnalishwaga nini jamani? Brain wash hii ni kiboko!
ukitaka ujue uzuri au ubaya wa boko haram ni vyema ukajua historia ya hili kundi kule northeast.hili ni kundi la juzi tu.
kwa kifupi hili kundi ni zao la serikali ya Nigeria.kama unachakuuliza uliza
Historia yao haitanisaidia chochote kwa sababu the end doesnt justify tje means! Hawawezi kuteka mabinti za watu na kuwauza. Selling what is not rightfully yours is a sin hata kwenye uislam i guess.
Sasa wao wapo vitani.Am talking of the beggining not the End.Na kuuza ni strategy ya kivita.Ni vyema tukajua vita yao ni halali au batili.
Bokoharam ime overpower jeshi la naigeria.Unadhani ni kwanini?na mpaka sasa wameshauwa watu 10,000/=
Historia yao haitanisaidia chochote kwa sababu the end doesnt justify tje means! Hawawezi kuteka mabinti za watu na kuwauza. Selling what is not rightfully yours is a sin hata kwenye uislam i guess.
tehe tehe! rais kikwete atapeleka wale makomando wake aliotuonyesha siku ya sherehe ya muungano wakamsaidie rais jonathan!
Sasa wao wapo vitani.Am talking of the beggining not the End.Na kuuza ni strategy ya kivita.Ni vyema tukajua vita yao ni halali au batili.
Bokoharam ime overpower jeshi la naigeria.Unadhani ni kwanini?na mpaka sasa wameshauwa watu 10,000/=
Kwanza hakuna kundi linaliitwa boko haram, mnaficha nini kutaja jina lake halisi??halafu mbona hamuelezi sababu za wao kuwateka hao wasichana wanane?mbona hamsemi wale wake na watoto wa hao mnaowaita boko haram kuwa wamewekwa jela na wanateseka bila hatia?si kila kinachosemwa na media za magharibi muwe mnalishwa kama kilivyo, muwe mnapembua.
NB:Sitetei yanayotokea huko,ila nashauri muwe wadadisi wa mambo
Yes, nimefurahi sana kwani wamepata mtaji, asubuhi si mlisema wanawauza? Fikiri, asubuhi ukiwa na bidhaa 200 mchana zikawa 208, si la kufurahia hilo?
The..!teh..! KABUSHA bhanah...! dawa ya jeuri ni kiburi.......!Uenda FaizaFoxy ana jinsia 2 kwa hiyo na yeye anatarajia mabikra 72
Ebooh...! ss unataka akulazimishe uamini c umeambiwa uwe mdaadisi,kuna pr.mmoja kutoka YALE university aliwahi andika makala iliyochapishwa katika s.times kama sijakosea ilikuwa na kichwa cha habari kisemacho; BOKO HARAM IS NOT A KEY PROBLEM,kama waweza itafute halafu ndio urudi hapa,ila uache kuwa wa bei rahisi....!so unataka tuamini ya kwako?
Haya ndio mambo tusiyoyataka,kujitia usomi feki wa kuandika kiingereza ili kutafuta kichaka cha kujifichia,unanukuu aya ambayo unashindwa hata kuitafsiri ushasema married kisha mbele unasema raped,tukuelewe vp sasa,mambo ya kujitekenya mwenyewe halafu unajichekesha haya ,hebu taja walau taifa moja ambalo wanaume wake wote waliuliwa kisha wake zao kubakwa,hebu wacha kujitia wehu ucozaliwa nao,na huko Saudi,Yemen hao sex captives wanawapatia wapi maana cdhani kama kuna vita huko au dada zako ndio umewapeleka......!Stop guessing anything about islam, it is not a religion but a cult! Uislamu unaruhusu kutekwa na kuuzwa kwa non-muslims, raping non-muslims etc, ukisoma Quran ya kiingereza hii inaitwa "what your right hand possess". It is exactly what Mohammed did back in the days, kuvamia mataifa yasiyo ya kiislamu na kuua wanaume wote and then kuchukua wanawake na wasichana and "marrying them".
"Abu Said al-Khudri said: "The apostle of Allah sent a military expedition to Awtas on the occasion of the battle of Hunain. They met their enemy and fought with them. They defeated them and took them captives. Some of the Companions of the apostle of Allah were reluctant to have intercourse with the female captives in the presence of their husbands who were unbelievers. So Allah, the Exalted, sent down the Quranic verse, "And all married women (are forbidden) unto you save those (captives) whom your right hands possess". That is to say, they are lawful for them when they complete their waiting period." [The Quran verse is 4:24]"
Abu Dawud 2:2150
This practice of raping war captives was practiced by Islam's very own prophet Muhammad, in his life. On two occasions, he married (for the sake of sexual gratification only) war captives and raped them.Safiyah the daughter of Huayy was the wife of a Jewish Rabbi named Kinana. When Muhammad conquered the Jewish village of Khaibar, he tortured and killed the Rabbi and took captive his wife. Sahih Hadith in Bukhari testify to this fact:
source: Sahih Bukhari 1:8:367
waislamu bongofleva hapa JF watakataa lakini this is what is going on in most ISLAMIC NATIONS, just google islam sex slavery, yemen and sex slavery, saudi sex slaves,.... halafu angalia vitu vitakavyotoka hapo. You don't have to guess...
Kwanza hakuna kundi linaliitwa boko haram, mnaficha nini kutaja jina lake halisi??halafu mbona hamuelezi sababu za wao kuwateka hao wasichana wanane?mbona hamsemi wale wake na watoto wa hao mnaowaita boko haram kuwa wamewekwa jela na wanateseka bila hatia?si kila kinachosemwa na media za magharibi muwe mnalishwa kama kilivyo, muwe mnapembua.
NB:Sitetei yanayotokea huko,ila nashauri muwe wadadisi wa mambo
Mnalishwaga nini jamani? Brain wash hii ni kiboko!