Boflo, njooo tusaidiane kukamua alizeti

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,819
Peke yangu ntachemka vibaya, hebu njoo huku mwite na @mbuzi mzee na @watu8 tufanye shangwe
547310_349915965093492_1031199638_n.jpg
 
Kazi ndo msingi wa maendelea!jitume kaka kamuo hivyo hivyo utaweza!!!
 
kweli mnatutumia kama vyombo vya starehe
Kwa sababu mmeamua iwe hivyo, vinginevyo msingeamua kujiweka wazi kiasi ambacho hata mwanaume hawezi kuvaa bukta na fulana kata mikono mpaka mjini/kwenye sherehe.
 
kweli mnatutumia kama vyombo vya starehe
Kwa kawaida vyombo vya starehe hupambwa na kuwekwa hadharani ili hadhira ione na kufurahi navyo, na ndivyo mnavyofanya ili kuteka wanaume wala hakuna mwanaume anayewashawihi ila nyinyi mnafanya hayo ili kuwateka wanaume.

Sina hakika kama ulimwengu ungekuwa ni wa wanawake pekee, mngevaa hivyo.
 
Back
Top Bottom