Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,819
Peke yangu ntachemka vibaya, hebu njoo huku mwite na @mbuzi mzee na @watu8 tufanye shangwe
Toka hapa
Kwa sababu mmeamua iwe hivyo, vinginevyo msingeamua kujiweka wazi kiasi ambacho hata mwanaume hawezi kuvaa bukta na fulana kata mikono mpaka mjini/kwenye sherehe.kweli mnatutumia kama vyombo vya starehe
..... everything too much is harmful ,
Kwa kawaida vyombo vya starehe hupambwa na kuwekwa hadharani ili hadhira ione na kufurahi navyo, na ndivyo mnavyofanya ili kuteka wanaume wala hakuna mwanaume anayewashawihi ila nyinyi mnafanya hayo ili kuwateka wanaume.kweli mnatutumia kama vyombo vya starehe
Peke yangu ntachemka vibaya, hebu njoo huku mwite na Mbuzi Mzee na watu8 tufanye shangwe