- Thread starter
- #41
Nchi ya Tozonia!Mkopo ni dezo bwege kabisa wewe
Nchi ya Tozonia!Mkopo ni dezo bwege kabisa wewe
Umeweza kulipa 1.5M unataka mkopo wa nini...Hujui tu madhira yake..nakumbuku mwaka 2012 namaliza advance private, ada yake ilikuwa juu kidogo m 1.5 +, asilimia kubwa tulioapply loan board tulikosa kwa vigezo hivyohivyo anavyotoa mtoa uzi.
Kuna wengine walikuwa sponsored advance lakini waliishia mtaani baada ya kuwekwa kando kwa kudhaniwa wana uwezo wa kujilipia.
Una roho ya kikatili kam Serikali ya Awamu ya TanoUmew
Umeweza kulipa 1.5M unataka mkopo wa nini...
Mtu akiandika hivyo ujue hana uwezo! Tanzania hii sio wote mafisadi bhana Kaka!Mbona wabongo mnapenda Sana kulia Lia? Kama unauwezo si umlipie tuu mwanao?
Rais alishasema wanafunzi wote wakopeshweBora watu wote wakopshwe, mbona wabunge wanakopeshwa pesa ndefu sn na mikopo yao haina riba?
Unaweza kuweka hako kaclip?Rais alishasema wanafunzi wote wakopeshwe
Aibu tupuRais alishasema wanafunzi wote wakopeshwe
Na je ni kweli wanakopeshwa?Aibu tupu
YesNa je ni kweli wanakopeshwa?