- Thread starter
- #21
Wewe ni Badru au Nyahende?Mlipieni mtoto shule. Acheni kutegemea dezo na uwezo mnao.
Wewe ni Badru au Nyahende?Mlipieni mtoto shule. Acheni kutegemea dezo na uwezo mnao.
Acha nyodo! Mnatunyonya halafu unadai tunalia lia!Mbona wabongo mnapenda Sana kulia Lia? Kama unauwezo si umlipie tuu mwanao?
Ni tatizo la kuchukuwa mtu toka NGO unamleta Bodi ya mikopo unasema wewe ni mkurugenzi mkuu. Anachojua ni uhasibu wa pesa za wafadhiri, reasoning=sifuri!Unaweza kukuta Bodi ya Wadhamini ya HESLB na Menejimenti yao kama akina Badru, Nyahende n.k yote ni MaCCM!
Hivi kumbe Badru alitokea kwenye NGO?Ni tatizo la kuchukuwa mtu toka NGO unamleta Bodi ya mikopo unasema wewe ni mkurugenzi mkuu. Anachojua ni uhasibu wa pesa za wafadhiri, reasoning=sifuri!
Hamna mtu mwenye uwezo leo akang'ang'ania kukopa Bodi ya Mikopo. Je, Ndalichako mwanae kukopesha ina maana hana uwezo?Kama unao uwezo achana na mikopo utamtesa mlipaji mbeleni
Kama u mwalimu wa chuo unapata mkopo!Hadi masters wanatoa mikopo?
Taaluma zingine jeKama u mwalimu wa chuo unapata mkopo!
Kidogo inasumbua! Soma Mwongozo wao!Taaluma zingine je
Kwa mfanyakazi na anataka kupiga masters mfano ya Finance mazingira vipiKidogo inasumbua! Soma Mwongozo wao!
Hapo ngumu lipiwa tu na Mwajiri wako ndugu!Kwa mfanyakazi na anataka kupiga masters mfano ya Finance mazingira vipi
Tena iliyozoea kupewa pesa kwa malengo ya wafadhili. Ifakara!!!!! Funny!Hivi kumbe Badru alitokea kwenye NGO?
Ndiyo maana ana mawazo hasi kwa watoto ambao wazazi wao wanafanya kazi serikalini. na yule Nyahende je alikuwa wapi kabla ya kwenda Bodi?Tena iliyozoea kupewa pesa kwa malengo ya wafadhili. Ifakara!!!!! Funny!
Meona eee?Bora watu wote wakopshwe, mbona wabunge wanakopeshwa pesa ndefu sn na mikopo yao haina riba?
Hatari snMeona eee?
Mkopo ni dezo bwege kabisa weweMlipieni mtoto shule. Acheni kutegemea dezo na uwezo mnao.
Hovyo kabisa!Yaani walipa kodi wazuri ndiyo hawapaswi kuwa wanufaika wa mkopo wale wasiolipa kodi ndiyo wananufaika. Natural right logic hapa inakataa. Walipa kodi wazuri watoto wao wasome bure ili nawengine wajishughulishe na kulipa kodi. Si sawa kabisa kufanya ubaguzi wenye sura hii.