Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,296
Mimi nionavo CCM wanamtengenezea Magufuli mazingura magumu ya Utawala wake..Huyu mzee ana nia njema sana ya Wananchi ila sasa atakwama upande mwingine wa mambo ya nje.
Kwani rais wa Zanzibar Na Bara si wanaongozwa Na mwenyekiti mmoja wa chama.?MCC hawajui kuwa kuna nchi mbili Zinazounda jamhuri ya muungano wa Tanzania? Kwa nini misaada yao wasingeondoa tu kile kipande cha Zanzibar tu? Kwa nini washupalie na TANZANIA bara?
s.Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.
========================
Hawakutimiza masharti tangu mwanzo ndiyo maana hawamo katika mpango huoHivi mbona nchi kama uganda au zimbabwe huwa hawapewi misaada ya kijinga jinga kama hii na bado mambo yao yanaenda fresh tu?ebu turudishe urafiki wetu na wachina,tufanye kazi kwa bidii kama wao afu tuachane na mambo ya kwenda washngton kupiga magoti kuomba 900bil.
au hujui maana ya defer. wameahirisha uamuzi..kwa hiyo mtifuano znz ukiisha wataamua. cyber crime legislation haina shida wataelewa wakiringa tunafanya kwa hela zetu.Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.
========================
Kwa hiyo kwako ww na wengine wenye cariba yako mnaona ni sawa kwa ubakaji wa demokrasia unaoendelea zanzibar na udikteta wa sheria ya mtandao?
A blessing by disguise, tukusanye kodi zetu wenyewe ili nasi siku moja tuwe donner country.
kumbe msaada bado upo . Mi nilidhani tumenyimwa kabisaaaa. Wanachotaka wao ni sisi kurekebisha kasoro fulani fulani kisha watautoa. Nadhani wataweka bank kifaida kwa muda kwa ajili yetu hadi tumalize hizo kasoro. Kwa hiyo wanaopata msaada huo sasa itakula kwao. Sisi fungu letu litawekwa bank kifaida hadi hapo tutakapomaliza hizo kasoro. Siunajua tena kinachokaa bank kwa muda huzalisha. Siku wakaianza kutukumbukatutapata na faidha yake toka bank. Patamu hapo! Ndiyo maana waswahili husemaharaka haraka ya kupata misaada sasa haina baraka. wanaopata sasa itakua kwao.
Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.
========================
Kwa kuanzia tupunguze bajeti ya serikali ili ilingane na makusanyo yetu ya kodi. Haiwezekani tupange bajeti ya Trillion 27 wakati mapato yetu ni Trillion 12!
Sipendi kuona yanayoendelea Zanzibar lakini pia sipendi kuona financial embarrassment tunayofanyiwa na MCC.
Jambo la msingi ni lazima tujitegemee.