Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Wanatufundisha.wenyewe wandhani wanatukomoa.safi sana wazungu
Duh, madhara ya kuwa tegemezi ndo haya,tangu tuikwepe siasa ya ujamaa na kujitegemea hali umekuwa ya kuwapa wakubwa gold nakusbiri misaada
Kabla ya kuanza ushabiki me nadhani tujifikirie sote kwa kina, ni kwanini hiyo misaada imezuiliwa na impact yake katika nchi yetu kwa huu wakati tuliopo. Je hizo sababu zao zina mashiko?
Tusiwalaumu hao jamaa walioshika makali, kiukweli nchi yetu inahitaji huo msaada sana ili kumsaidia Rais kutimiza ahadi zake alizotoa kipindi cha kampeni, kwa sasa makusanyo ya ndani hayawezi tutosheleza kwa kila kitu, miradi mingi itakwama na ukizingatia kwa sasa tunasuala la elimu bure na juzi Rais kasema zinatakiwa zaidi ya billion 300 ili kutimiliza hayo.
Bado maeneo mengine ya hadi hayajaguswa hata kidogo, sasa haya mapato yetu ya ndani hayatoshi kamwe na kwa sasa yanaweza pungua zaidi sababu hela haipo kwenye mzunguke, the government is not spending, 90% of daily consumables we are importing, sasa ina maana tunahitaji dollar zaidi. Na project kubwakubwa zote zinazoendelea kwa sasa na zitazoendelea wakandandarasi wote ni makampuni ya kigeni, inamaana tena sio hao hao tunawasaidia to export dollars na uchumi mzuri kwenye nchi wanazotokea hao wakandarasi.
Nadhani hao jamaa wa MCC wamewahi sana kufanya maamuzi, wangelimpa muda Mh Rais angetimiliza tuu yote yanayotakikana kupata huo msaada.
Libya walikuwa wamefikia hapo,madhara ya kubaka Uhuru wa wananchi kujiamulia mambo yao ndio umeifikisha hapo ilipo!
Hamia Marekani
Ni kweli pesa zinahitajika sana kwa maendeleo!Kabla ya kuanza ushabiki me nadhani tujifikirie sote kwa kina, ni kwanini hiyo misaada imezuiliwa na impact yake katika nchi yetu kwa huu wakati tuliopo. Je hizo sababu zao zina mashiko?
Tusiwalaumu hao jamaa walioshika makali, kiukweli nchi yetu inahitaji huo msaada sana ili kumsaidia Rais kutimiza ahadi zake alizotoa kipindi cha kampeni, kwa sasa makusanyo ya ndani hayawezi tutosheleza kwa kila kitu, miradi mingi itakwama na ukizingatia kwa sasa tunasuala la elimu bure na juzi Rais kasema zinatakiwa zaidi ya billion 300 ili kutimiliza hayo.
Bado maeneo mengine ya hadi hayajaguswa hata kidogo, sasa haya mapato yetu ya ndani hayatoshi kamwe na kwa sasa yanaweza pungua zaidi sababu hela haipo kwenye mzunguke, the government is not spending, 90% of daily consumables we are importing, sasa ina maana tunahitaji dollar zaidi. Na project kubwakubwa zote zinazoendelea kwa sasa na zitazoendelea wakandandarasi wote ni makampuni ya kigeni, inamaana tena sio hao hao tunawasaidia to export dollars na uchumi mzuri kwenye nchi wanazotokea hao wakandarasi.
Nadhani hao jamaa wa MCC wamewahi sana kufanya maamuzi, wangelimpa muda Mh Rais angetimiliza tuu yote yanayotakikana kupata huo msaada.
Neno muhimu katika statement yao ni DEFERREDThe Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.
Kabla ya kuanza ushabiki me nadhani tujifikirie sote kwa kina, ni kwanini hiyo misaada imezuiliwa na impact yake katika nchi yetu kwa huu wakati tuliopo. Je hizo sababu zao zina mashikio?
Tusiwalaumu hao jamaa walioshika makali, kiukweli nchi yetu inahitaji huo msaada sana ili kumsaidia Rais kutimiza ahadi zake alizotoa kipindi cha kampeni, kwa sasa makusanyo ya ndani hayawezi tutosheleza kwa kila kitu, miradi mingi itakwama na ukizingatia kwa sasa tunasuala la elimu bure na juzi Rais kasema zinatakiwa zaidi ya billion 300 ili kutimiliza hayo.
Bado maeneo mengine ya hadi hayajaguswa hata kidogo, sasa haya mapato yetu ya ndani hayatoshi kamwe na kwa sasa yanaweza pungua zaidi sababu hela haipo kwenye mzunguke, the government is not spending, 90% of daily consumables we are importing, sasa ina maana tunahitaji dollar zaidi. Na project kubwakubwa zote zinazoendelea kwa sasa na zitazoendelea wakandandarasi wote ni makampuni ya kigeni, inamaana tena sio hao hao tunawasaidia to export dollars na uchumi mzuri kwenye nchi wanazotokea hao wakandarasi.
Nadhani hao jamaa wa MCC wamewahi sana kufanya maamuzi, wangelimpa muda Mh Rais angetimiliza tuu yote yanayotakikana kupata huo msaada.
Nchi lazima ianze kujitegemea
Zanzibar ni nchi wanajiamulia mambo yao , wadhungu wasitubabaishehabari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.
Ni kweli mkuu!
Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.
Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.
Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!
Hii ndiyo statement ya The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors!
For Immediate Release
December 17, 2015
Renee Kelly
202-521-3880
The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.
The Board selected Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d?Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC?s scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.
In both Senegal and Cote d?Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.
The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.
Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.
Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.
Tanzania haijanyimwa pesa bali maamuzi yamepigwa tarehe nyingine mpaka tukamilishe vidokezo walivyotupatia!ule mradi wa umeme vijijini lazima usimame
Sasa hapa utasema hao wazungu wanatafuta sababu kivipi?Mi naona hawa huwa wana sababu zao za kutotoa msaada. Siwezi amini eti hiyo ndo sababu. Kwani wao sera zao za mambo ya nje zina hata chembe ya demokrasia?