KXY
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 880
- 327
Mambo ya Zanzibar ni mazito, kama sikosei Pasco ws JF amewahi kuhoji kwanini hakuna aliyekwenda mahakamani kupata tafsiri ya kisheria juu ya mambo yote haya?
CCM ndio wanaobebeshwa lawama kama ilivyo ada lakini tunasahau serikali iliyopita ilikuwa ya umoja. Kwa chochote watakachokuwa wanataka kufanya CCM naamini kuna watu wa upande wa pili wanahusishwa.
Tunaskia kwamba chaguzi zilizopita CUF walikua wanashinda lakini hatuambiwi aliyekua ananyang'anywa ushindi alikuwa anakubali kwa makubaliano gani.
Demokrasia inatumiwa vibaya wakati kuna kikundi kimeshajihalalishia kutawala iwe kwa jina la CUF au CCM. Wanasiasa watatufikisha pabaya
CCM ndio wanaobebeshwa lawama kama ilivyo ada lakini tunasahau serikali iliyopita ilikuwa ya umoja. Kwa chochote watakachokuwa wanataka kufanya CCM naamini kuna watu wa upande wa pili wanahusishwa.
Tunaskia kwamba chaguzi zilizopita CUF walikua wanashinda lakini hatuambiwi aliyekua ananyang'anywa ushindi alikuwa anakubali kwa makubaliano gani.
Demokrasia inatumiwa vibaya wakati kuna kikundi kimeshajihalalishia kutawala iwe kwa jina la CUF au CCM. Wanasiasa watatufikisha pabaya
Last edited by a moderator: