Bodi ya Maziwa Tanzania ya nini?

Bodi ya Maziwa Tanzania ya nini?

Tunahitaji maziwa ya Ngamia kututoa hali ya uvivu watanzania
 
Ikishindikana kuvunja bodi basi Maziwa yagaiwe bure mashuleni. Kupunguza vijana kuongea Pumba
 
Mie kwangu naona iko sahihi. Kwanza tofautisha kati ya vitu vya muhimu na vitu vya muhimu zaidi. Mfano mtoto mdogo akizaliwa afu kwa bahati mbaya mama akafaliki huwa nalishwa nyama au dagaa? Hapo ndipo utajua kuwa maziwa ni kitu cha muhimu. Nakumbuka kuwa hasa watoto wanapotumia maziwa kwa wingi huwa na afya bora na uelewa mkubwa darasani
Sasa hio bodi inawalisha watoto maziwa?
 
Jaribu kutafuta umuhimu wa maziwa kwa afya ndo utajua kwanin kuna bodi ya mazima!
Hilo kila mtu analifahamu, anachotaka kujua mtoa mada hiyo bodi ya kazi gani wakati kuna mamlaka zingine zinaweza kusimamia hilo la maziwa.
Hili ni sawa na kuwa na maafisa nyuki na bwana samaki kwnye mikoa na wilaya zisizo zalisha asali wala uvuvi.
 
Ivi unahisi mie ********. Unajua maana ya neno ********?. Pengine tu kwa ushauri. Ata hao walio unda hiyo BODI walikuwa na maono makubwa sana. Unge kuwa mwalimu ( sifahamu taaruma yako) ungeniunga mkono. Kufundisha mtoto mwenye utapiamlo na mtoto ambaye lishe haikuzingatiwa tangu akiwa mdogo ni shida sana. Pia maziwa yana kazi nyingi sana mbali na kuwa chanzo muhimu cha lishe kwa watoto ( protein)
Mkuu,nipatie faida ya Bodi ya Maziwa kwa mazingira ya sasa
 
mkuu kwa uelewa wangu bodi ya maziwa si asasi ya kiserikali hii ni sekta binafsi. inapatikana hasa sehemu zenye mifugo ng'ombe wengi nadhani chimbuko lake ni kiwanda cha Tanga fresh. lengo la hii bodi ni kujadiri na kushauriana kuhusu changamoto zinazowakumba wafugaji wa Ng'ombe. ikiwa ni pamoja na kushauriana aina ya Ng'ombe wanaofaa kwa kufuga hasa kwa maziwa mengi. nilibahatika kuhudhuria kikao chao huko Tanga. nikagunda hayo vile vile bodi hiyo inahusika na uhuzaji wa vifaa mbali mbali vya kuhifadhia maziwa kwa muda mrefu. vile vile bodi hiyo hiyo wanao mtandao unamsababisha mwanabodi kuazima ng'ombe kwaajiri ya kupandisha ili kupata mbegu ya Ng'ombe fulani/ kuuza jamii fulani ya Ng'ombe.hivyo mtoa mada nilitgemea ungeuliza kuhusu hii bodi ya maziwa badala yake umekuja kuzungumzia kitu usichokijua.
 
ipo haja ya kuunganisha ama kuzifuta hizi taasisi zisizo na tija.
 
Back
Top Bottom