Bodi ya Maziwa Tanzania ya nini?

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,560
32,197
Nimestushwa na kukutana na gari STL pembeni imeandikwa BODI YA MAZIWA daah! hivi kweli tumefikia hatua ya kuunda BODI MAALUM Kwa ajili ya MAZIWA (naamini wanamaanisha haya maziwa ya KUNYWA kupitia mdomoni) hapo hapo tuna TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE (TFNC) nao wanapata bajet nenee!!

Mgao wa magari ya kutosha bila kusahau safari za nje ya nchi. Hapo hapo tuna TANZANIA FOOD & DRUGS AUTHORITY (TFDA) nao vile vile tiripu za nje kama kawa, VX za kutosha. Jamani tuoneeni huruma sisi walipa kodi maskini. TUMEROGWA??
maziwa.jpg
 
Last edited by a moderator:
Nimestushwa na kukutana na gari STL pembeni imeandikwa BODI YA MAZIWA daah! hivi kweli tumefikia hatua ya kuunda BODI MAALUM Kwa ajili ya MAZIWA (naamini wanamaanisha haya maziwa ya KUNYWA kupitia mdomoni) hapo hapo tuna TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE (TFNC) nao wanapata bajet nenee!!

Mgao wa magari ya kutosha bila kusahau safari za nje ya nchi. Hapo hapo tuna TANZANIA FOOD & DRUGS AUTHORITY (TFDA) nao vile vile tiripu za nje kama kawa, VX za kutosha. Jamani tuoneeni huruma sisi walipa kodi maskini. TUMEROGWA??
ni uhuni tu huu aisee eti BODI YA MAZIWA
Jaribu kutafuta umuhimu wa maziwa kwa afya ndo utajua kwanin kuna bodi ya mazima!
 
Hata kama kiongozi.
Kazi hiyo ingeweza kufanywa na TFNC tu badala ya kuiundia bodi yake.

Alafu utambue vyenye umuhimu kiafya sio MAZIWA tu.
Mie kwangu naona iko sahihi. Kwanza tofautisha kati ya vitu vya muhimu na vitu vya muhimu zaidi. Mfano mtoto mdogo akizaliwa afu kwa bahati mbaya mama akafaliki huwa nalishwa nyama au dagaa? Hapo ndipo utajua kuwa maziwa ni kitu cha muhimu. Nakumbuka kuwa hasa watoto wanapotumia maziwa kwa wingi huwa na afya bora na uelewa mkubwa darasani
 
Mie kwangu naona iko sahihi. Kwanza tofautisha kati ya vitu vya muhimu na vitu vya muhimu zaidi. Mfano mtoto mdogo akizaliwa afu kwa bahati mbaya mama akafaliki huwa nalishwa nyama au dagaa? Hapo ndipo utajua kuwa maziwa ni kitu cha muhimu. Nakumbuka kuwa hasa watoto wanapotumia maziwa kwa wingi huwa na afya bora na uelewa mkubwa darasani


Acha kukumbatia upumbavu wewe.
Jiongeze kidogo
 
Nimestushwa na kukutana na gari STL pembeni imeandikwa BODI YA MAZIWA daah! hivi kweli tumefikia hatua ya kuunda BODI MAALUM Kwa ajili ya MAZIWA (naamini wanamaanisha haya maziwa ya KUNYWA kupitia mdomoni) hapo hapo tuna TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE (TFNC) nao wanapata bajet nenee!!

Mgao wa magari ya kutosha bila kusahau safari za nje ya nchi. Hapo hapo tuna TANZANIA FOOD & DRUGS AUTHORITY (TFDA) nao vile vile tiripu za nje kama kawa, VX za kutosha. Jamani tuoneeni huruma sisi walipa kodi maskini. TUMEROGWA??
bodi ya maziwa ipo siku nyingi sana. kuna mdau mmoja aliponda akisema ng'ombe mmoja anaundiwa bodi kibao; bodi ya nyama, bodi ya ngozi, na hiyo
 
Tupunguze/tuunganishe taasisi zinazofanana na MAJUKUMU jamani ili kubana matumizi & kuongeza ufanisi;
1. BODI YA MAZIWA/TFDA/TANZANIA FOOD & NUTRITION CENTRE
2. TANTRADE/EPZA
3.TIC/BRELA/National Economic Empowerment Council (NEEC)
4.TANAPA/Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA)
5. TACAIDS/ National AIDS Control Programme
6.OSHA/NEMC/ Zimamoto
7. Bodi za Mazao (korosho, chai, PARETO,Sukari, "CHUMVI" )
8.TBC/Habari-Maelezo/Tanzania Standard Newspaper (Daily News)
9. Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI)+Mbegani Fisheries Development Centre
 
Last edited by a moderator:
Acha kukumbatia upumbavu wewe.
Jiongeze kidogo
Ivi unahisi mie mpumbavu. Unajua maana ya neno mpumbavu?. Pengine tu kwa ushauri. Ata hao walio unda hiyo BODI walikuwa na maono makubwa sana. Unge kuwa mwalimu ( sifahamu taaruma yako) ungeniunga mkono. Kufundisha mtoto mwenye utapiamlo na mtoto ambaye lishe haikuzingatiwa tangu akiwa mdogo ni shida sana. Pia maziwa yana kazi nyingi sana mbali na kuwa chanzo muhimu cha lishe kwa watoto ( protein)
 
BODI YA MAZIWA Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!! Semina elekezi wiki 3 ARGENTINA (tiketi ya ndege=3,500 USD, malazi@200 USDx21days=4200USD , Per Diem x 21 days@420 USD=8820 USD) JUMLA KUU=16520 USD/pp. Hapo sijahesabia ada iliyotumwa moja kwa moja Chuoni/taasisi inayotoa mafunzo huko nje ya nchi. Nchi hii imeliwa haswaaa!!!
 
Last edited:
Ivi unahisi mie mpumbavu. Unajua maana ya neno mpumbavu?. Pengine tu kwa ushauri. Ata hao walio unda hiyo BODI walikuwa na maono makubwa sana. Unge kuwa mwalimu ( sifahamu taaruma yako) ungeniunga mkono. Kufundisha mtoto mwenye utapiamlo na mtoto ambaye lishe haikuzingatiwa tangu akiwa mdogo ni shida sana. Pia maziwa yana kazi nyingi sana mbali na kuwa chanzo muhimu cha lishe kwa watoto ( protein)

Acha upotoshaji wewee , hivi unazijua athari hasi za kunywa maziwa? Eti na wewe ni mwalimu halafu unatetea ujinga,jinga kabisa wewe. Binadamu anasisitizwa kula nafaka kamili mbogamboga na matunda tuu vya kutosha wewe unaleta habari yako ya maziwa. Fanya utafiti kwanza ndo uwe unazungumza.
 
Acha upotoshaji wewee , hivi unazijua athari hasi za kunywa maziwa? Eti na wewe ni mwalimu halafu unatetea ujinga,jinga kabisa wewe. Binadamu anasisitizwa kula nafaka kamili mbogamboga na matunda tuu vya kutosha wewe unaleta habari yako ya maziwa. Fanya utafiti kwanza ndo uwe unazungumza.
Asante! We mkweli aisee.
 
Back
Top Bottom