and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,120
- Thread starter
- #21
Bado ofisi za MABONDE YA MAJI YA MITO 1. RUFIJI (RUBADA), WAMI, KILOMBERO, MARA, PANGANI n.k.
Voted as POST OF THE WEEKTupunguze/tuunganishe taasisi zinazofanana na MAJUKUMU jamani ili kubana matumizi & kuongeza ufanisi;
1. BODI YA MAZIWA/TFDA/TANZANIA FOOD & NUTRITION CENTRE
2. TANTRADE/EPZA
3.TIC/BRELA/National Economic Empowerment Council (NEEC)
4.TANAPA/Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA)
5. TACAIDS/ National AIDS Control Programme
6.OSHA/NEMC/ Zimamoto
7. Bodi za Mazao (korosho, chai, PARETO,Sukari, "CHUMVI" )
8.TBC/Habari-Maelezo/Tanzania Standard Newspaper (Daily News)
9. Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI)+Mbegani Fisheries Development Centre
wakati mwingine unajiuliza kuna ulazima viongozi MAKATIBU WAKUU na MANAIBU, MAKAMISHNA, WAKURUGENZI, MEYA, DED, MKUU WA MKOA/WILAYA, "masekretari" kupewa magari rasmi ya kuwapeleka nyumbani na "Bar"? si wakopeshwe/walipe kidogo kidogo. hayo ma-VX yauzwe kwenye mnada tuanze upya?
komaa usikubali kushindwa kizembe,humu Jf lazima ukazeAsante! We mkweli aisee.
Ivi unahisi mie mpumbavu. Unajua maana ya neno mpumbavu?. Pengine tu kwa ushauri. Ata hao walio unda hiyo BODI walikuwa na maono makubwa sana. Unge kuwa mwalimu ( sifahamu taaruma yako) ungeniunga mkono. Kufundisha mtoto mwenye utapiamlo na mtoto ambaye lishe haikuzingatiwa tangu akiwa mdogo ni shida sana. Pia maziwa yana kazi nyingi sana mbali na kuwa chanzo muhimu cha lishe kwa watoto ( protein)
Ukimshauri mtu akakuona ww hujui. Swala la hekima ni kuachana nae abaki anacho kiwazakomaa usikubali kushindwa kizembe,humu Jf lazima ukaze
Hata uji , mishkaki, chai vyote vina umuhimu..je tuviundie bodi?Jaribu kutafuta umuhimu wa maziwa kwa afya ndo utajua kwanin kuna bodi ya mazima!
Swala ni pale mtu anapodai haina umuhimu. Ukienda sehemu zingine huko vijijini swala la utapia mlo liko juu. Hali inayopelekea watoto kukumbwa na magonjwa nyemelezi. Lakin naona watu hilo hawa lioni kabisaUnaweza kuwa sahihi kqa hiki unachosema lkn uwepo wake umeleta Tija gani mpaka sasa
Kwa ninavo jua maziwa yanavirutubisho vingi kwa ujumla. Fuatilia alafu utakuja kuwa shahidi hapaHata uji , mishkaki, chai vyote vina umuhimu..je tuviundie bodi?
Kwani uji hauna virutubisho??Kwa ninavo jua maziwa yanavirutubisho vingi kwa ujumla. Fuatilia alafu utakuja kuwa shahidi hapa
Nenda katafute maana ya TFDA afu ndo uje. Utafute na malengo ya kuiunda hiyo authorityKwani uji hauna virutubisho??
Anyweiz point ni kwamba kila kitu chenye umuhimu kikiundiwa bodi kutakuwa na bodi ngapi kwa nchi maskini kama Tz??
Wanasema eti kazi ni kuhakikisha kila mtoto anapata maziwa kikombe kwa siku kitu ambacho ni uwongo wakati nchi hii hii watu hawana maji sasa maziwa na maji lipi ni suala umuhimu la kushughulikia...
Mambo ya maziwa yashughulikiwe na TFDA ... naamini magufuli ataliona hili
kama unaweza sindika na kuviuza kwenye soko na jamii ikaipokeaa basi tuunde bodiHata uji , mishkaki, chai vyote vina umuhimu..je tuviundie bodi?