Pia tuongeze bodi nyingine mfano:
1.bodi ya ugali,
2. bodi ya mtama
3. bodi ya soya,
4. bodi ya dengu,
5. bodi ya maharage,
6. bodi ya choroko,
7. bodi ya mboga za majani kwa ujumla
8. bodi ya malazi,
9. bodi ya mavazi,
6. bodi ya saloon na mikorogo,
7. bodi ya nyama ya ng'ombe
8. bodi ya nyama ya mbuzi
9. bodi ya nyama ya kondoo,
10. bodi ya kitimoto,
11. bodi ya nyama ya kuku,
12. bodi ya nyama ya bata
13. bodi ya ndege kwa ujumla (birds in general)
14. bodi ya mayai,
15. bodi ya kuku
16. bodi ya machungwa
17. bodi ya mchicha
18. bodi ya sukuma wiki
19. bodi ya spinachi
20. bodi ya matembele
21. bodi ya chines
22. bodi ya uwele
23. bodi ya vitumbua
24. bodi ya maandazi
25. bodi ya ufuta
26. bodi ya samuli
27. bodi ya siagi
28. bodi ya ulezi
29. bodi ya mananas
30. bodi ya ndizi
31. bodi ya mapera
32. bodi ya parachichi
33. bodi ya kabechi
34. bodi ya ukwaju
35. bodi ya ubuyu
Nimesahau zingine.unaweza kuongeza zingine unazozikumbuka ili tz yetu ipige hatu mbele
Eti bodi yaaziwa!!!! aahahahahaaaaaa!!! tz bana..Mtu haishi kwa maziwa tu isipokuwa kwa aina zote ya chakula kama baadhi zilizotajwa hapo juu ili kuujenga. mwili. Sasa ukisema unaunda bodi eti ya kushugulikia maziwa peke yake kama lishe bora, vipi chakula vingine? kwakuzingatia umuhimu wa makundi ya chakula; Piga ua ni lazima Rais aanzishe bodi kwa kila aina ya chakula jukumu lake ni kwaelimisha wananchi umuhimu wa kila kundi la chakula kama bodi ya maziwa inavyofanya. La sivyo hakuna haja na bodi ya maziwa kwakuwa tayari tuna tfda na ile ya nutrition.