establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,641
- 2,471
Bodi
Unaweza kutujuza lengo la kuanzishwa bodi ya maziwa?ili kazi za bodi ya maziwa zifanywe na TFNC au TFDA hapo inabidi sheria za kuunda hizo taasisi zibadilishwe na pengine lengo la kuunda bodi ya Maziwa lisifikiwe kama ilivyo kusudiwa
???Maziwa for LIFE
kumbe ukiajiriwa humo posho hukosi!Import maziwa yawe in form of powder, UHT or fresh nchini ndio utawatambua. Wanataka Tshs 2000 per ltr/kg kama ni ada zao ndio upate permit itakayokuruhusu kupata release ya kutowa mzigo bandarini. These guys are insane!
Hata ngono ni muhimu kiafya,kwa hiyo na yenyewe iundwe bodi yake?Jaribu kutafuta umuhimu wa maziwa kwa afya ndo utajua kwanin kuna bodi ya mazima!
Duniani vyakula ambavyo vinaliwa sana ni maziwa, mayai, mikate, nguruwe na ndizi za kuivani uhuni tu huu aisee eti BODI YA MAZIWA
Tanzania iundwe basi bodi ya nguruweDuniani vyakula ambavyo vinaliwa sana ni maziwa, mayai, mikate, nguruwe na ndizi za kuiva
Ivyo ndio vitu Wazungu wapo makini sana na wana BODI
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Ng'ombe ana bodi za kutosha..bodi ya maziwa ipo siku nyingi sana. kuna mdau mmoja aliponda akisema ng'ombe mmoja anaundiwa bodi kibao; bodi ya nyama, bodi ya ngozi, na hiyo
Tena maziwa ya ng'ombe kwa Watoto si mazuri, mtafute mtaalamu wa afya akueleze. Protini iliyopo ni nyingi sana, haifai kwa mtoto.Mie kwangu naona iko sahihi. Kwanza tofautisha kati ya vitu vya muhimu na vitu vya muhimu zaidi. Mfano mtoto mdogo akizaliwa afu kwa bahati mbaya mama akafaliki huwa nalishwa nyama au dagaa? Hapo ndipo utajua kuwa maziwa ni kitu cha muhimu. Nakumbuka kuwa hasa watoto wanapotumia maziwa kwa wingi huwa na afya bora na uelewa mkubwa darasani
Mkuu, mbona umekomaa sana na hii bodi?Bodi hii nayo itahamia DODOMA?
[emoji2] [emoji2] [emoji2]ni uhuni tu huu aisee eti BODI YA MAZIWA
na maharage tunayokula kila siku bodi ipo?Jaribu kutafuta umuhimu wa maziwa kwa afya ndo utajua kwanin kuna bodi ya mazima!
Yaani kuliko hata TRA!kumbe ukiajiriwa humo posho hukosi!
Utashangaa hata wajumbe wrnyewe hawanywi maziwa wanakunywa biaHii bodi inahakikisha kila mtu anapata walau kikombe kimoja cha maziwa kwa siku..