CAMARADERIE JF-Expert Member Mar 3, 2011 4,419 1,920 Jan 18, 2012 #22 MWENYEWE KESHATOA ANGALIZO KULE...... MICHUZI: angalizo la kurasa za globu ya jamii
Mohammed Hamad JF-Expert Member Jan 17, 2011 3,988 1,304 Jan 18, 2012 #23 Ni vema ungependekeza aandikeje? maana nimeona ameandika Tanzia gonga hapa. MICHUZI: Tanzia: Regia ameondoka, ametuachia daraja Tafadhali fafanua uzito uliokusudia una amanisha uzito gani hasa?
Ni vema ungependekeza aandikeje? maana nimeona ameandika Tanzia gonga hapa. MICHUZI: Tanzia: Regia ameondoka, ametuachia daraja Tafadhali fafanua uzito uliokusudia una amanisha uzito gani hasa?
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Jan 18, 2012 #24 Kwahiyo umekuja kumshtaki jf? Haya tema mate nikamchape.
Elisante Yona Senior Member Oct 6, 2009 130 24 Jan 18, 2012 #25 Ndugu, Mtoa mada kuhusu Blog ya Michuzi ninakushauri fanya utafiti kwanza kabla ya kulaumu, Mimi ni Mwana JF lakini picha za ajali zinavyoonyesha jinsi Gari la Marehemu Mbunge Regia lilivyoharibika nimezipata kutoka blog ya Michuzi, Tuache chuki binafsi, Big up sana Michuzi Blog.
Ndugu, Mtoa mada kuhusu Blog ya Michuzi ninakushauri fanya utafiti kwanza kabla ya kulaumu, Mimi ni Mwana JF lakini picha za ajali zinavyoonyesha jinsi Gari la Marehemu Mbunge Regia lilivyoharibika nimezipata kutoka blog ya Michuzi, Tuache chuki binafsi, Big up sana Michuzi Blog.