Blog ya IssaMichuzi haikupatia Uzito Msiba wa Shujaa REGIA MTEMA

mudushi

Senior Member
Oct 19, 2010
151
84
Kwa kweli blog ya Issa Michuzi MICHUZI haikuipa uzito habari ya msiba wa Shujaa REGIA. Habari za msiba zimekuwa zikiwekwa katikati au mwishoni. Kwa kweli nahisi km hakuipa uzito wowote. Namshauri asiwe mwoga kuripoti habari za Mashujaa wetu km REGIA.
 
Huo uchafu wa michuzi blog nimeach kupitia mwaka watatu sasa....hakunaga lolotela maana..
 
acha kushoboka wewe! kwani michuzi unamlipa au umemuajiri? blogs ziko kibao wewe unalia na michuzi tu. vipi na yeye kama alikuwa na udhuru? ushajiuliza hilo?? huo ndiyo tunaita uzandiki
 
kwaiyo mlitaka kila mahala hadithi iwe moja basi j.k angetangaza sasa siku za mapumziko kwajili ya maombolezo
 
JF inatosha jamani imempa heshima kubwa mpendwa wetu wengine waacheni msilalamike sana.
 
Blog ni yake kwahiyo ana haki ya kuweka anachotaka kwa kiasi anachotaka. Besides, hata angejaza blog nzima habari ya Regia nini kingebadilika?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Blog ni yake kwahiyo ana haki ya kuweka anachotaka kwa kiasi anachotaka. Besides, hata angejaza blog nzima habari ya Regia nini kingebadilika?

Tatizo ni watu hawajui maana hasa ya blog.
 
Kama kwako alikuwa shujaa kwa wenzio alikuwa nuisance tuuu! Msilazimishe mambo!
 
Wewe ulitaka Michuzi afanye nini ili uone kuwa kaipa habari uzito unaostahili kwa maoni yako?
Ni kweli NN alitakaje ili aone. Wakati mwingine tusipende sononeka kama mtoto aliyepokonywa peremende. Kama hakuandika ni kivyake, jamani huu msiba si wa mmoja ni wetu sote ile kama fulani katika msiba yeye alifata pombe akitegemea ni pombe mwache anywe. Si wote watalia kama unavyolia wewe. Kila mtu ama chombo kina uhuru na chombo chake cha habari. Ndio maana ata wale wengine walidiriki kuandiaka mambo ya kugombea urais kupitia CDM kwa siku ambayo baadhi ya magazeti yalizungumzia kifo cha kijana na mpiganaji mwenye damu changa na nafikiri ni tishio kwa vyama vingine REM. Please let her soul RIP
 
Mtoa malalamiko sijakuelewa, unaposema habari za msiba wa RM zinawekwa katikati au mwishoni unamaana gani?. Au wengine computer zenu zinaonyesha habari zilizo ndani ya blog kwa mfumo wa magazeti!!!
 
Kwa kweli blog ya Issa Michuzi MICHUZI haikuipa uzito habari ya msiba wa Shujaa REGIA. Habari za msiba zimekuwa zikiwekwa katikati au mwishoni. Kwa kweli nahisi km hakuipa uzito wowote. Namshauri asiwe mwoga kuripoti habari za Mashujaa wetu km REGIA.

Wewe utakuwa muongo, mapicha yote yale aliyo post kwenye blog yake ya "Matukio-michuzi"?
Hebu tembelea huko ujionee
 
Hii mada ni chuki tu,hakuna ukweli wowote hapo.katika blog zilizorusha picha na matukio kwa uzito ni pamoja na michuzi,labada mleta mada alitaka kingine sio hiki.haya ni majungu.kwa kuwa kila mtu ana tumia net fungueni blog ya michuzi kama hamjakuta picha za kufa kufa mtu kuhusu msiba wa Rejia,tangu nyumbani hadi ifakara.
 
wewe mchango wako ni nini kama sio mchango wa kulalamika tu hapa huna sera kabisa wewe,mtu gani usieridhika na kushukuru hata kile kidogo alichofanya mwenzako kazi yako kulalamika tu kaa demu bana
 
Kwa kweli blog ya Issa Michuzi MICHUZI haikuipa uzito habari ya msiba wa Shujaa REGIA. Habari za msiba zimekuwa zikiwekwa katikati au mwishoni. Kwa kweli nahisi km hakuipa uzito wowote. Namshauri asiwe mwoga kuripoti habari za Mashujaa wetu km REGIA.

Huu ni umbeya na ubaguzi.umeniharibia siku na log off.
 
Nadhani Michuzi ana utashi wake wa ni kitu gani a prioritize au hapana maana naye nafsi yake kuna inakomuelekeza. Hiyo ni sawa na Habari Leo walivyoipa Tanzia ya Regia nafasi ya chini, nafsi yao na maelekezo waliyopewa (labda) ni kutowapa nafasi 'wapinzani' lakini wakasahau kuwa huyu ni shujaa wa aina yake. Historia itawahukumu, hilo ni suala la muda tu.

Kikubwa hapa ni kuwa credibility ya jf imemultply baada ya watu kugundua kuwa hiki ni chanzo cha kuaminika cha taarifa/habari na kitakuwa juu zaidi kadi muda na technology inavyosambaa.
Hii mada ni chuki tu,hakuna ukweli wowote hapo.katika blog zilizorusha picha na matukio kwa uzito ni pamoja na michuzi,labada mleta mada alitaka kingine sio hiki.haya ni majungu.kwa kuwa kila mtu ana tumia net fungueni blog ya michuzi kama hamjakuta picha za kufa kufa mtu kuhusu msiba wa Rejia,tangu nyumbani hadi ifakara.
 
Udaku mwengine hauna hata mana,kwani asipoweka yeye hatozikwa? ebu ongea la maana sio fitna....unaongelea mabaya ya michuzi mbona mazuri yake huyaongei? wacha roho mbaya na choyo....
 
Back
Top Bottom