BlackBerry is in the house

BlackBerry is in the house

Karibu!!
Haya kutoka ushatoka sasa toa vitu vya ukweli usije ukafulia kama Mr Misosi!!!
 
KARIBU SANA BLACKBERRY. Karibu ujisikie uko jamvini.
 
Hahahah humu ndani kweli kukaa kwingi ni kuona mengi....Mimi alivyoanza nilijuwa ni kaka wewe kumbe dada bana....
 
Karibu sana BlackBerry
duuhh
Iphone alitangualia lakini lol
 
blackberry karibu sana ukumbini mwa jf, ila ndugu yete wewe kweli mkali umejiunga jana siku ya 22nd march na tayari leo 23rd march una posts 33! duuh hii ni komeshea. ki hakika wewe hutumia huduma za internet cafe kama akina sisi. cheers!
 
karibu BB...mchina mchina au bb ya ukweli.
Hey nimejiunga leo nimependa nijitambulisha na humu kwani huwa napenda sana kuja jukwaa hili kama guest nikaona isiwe tabu ngoja tu nijiunge ili niweze kucomment kwenye hoja itakayonivutia.Yaani kuna member huwa nawazimia sana
nawapenda nyote
Ahsanteni
 
uliza kwanza maana sio wote wanataka PM wakikuripoti kwa kiranja unakula BAN :rain:
Ina maana naweza kuwasiliana humuhumu na mtu bila wengine kujua? looo kumbe naweza wapm watu naowazimia humu hata kama hawataki? au unauliza kwanza
 
ni mapema sana kupelekwa kule maana hatujajua umri wako na pia ukomavu, we are not sure how great thinker you are. Be patient!
Wapi huko mie ndio kunanifaa nafanyaje kufika huko? au mpaka uwe member mkongwe?
 
PHP:
Maria Roza ahsante ofisini huwa wanakuongelea sana ila sijajua kwa nini i hope nitajua soon

JF without Maria Roza is like Dar without askari monument...............................we love her very much....................................
 
Torch bwana ahsante mkuu

Hahaa haaa Lol! poa karibu tena... lakini kuwa uvumilivu ni kitu cha msingi sana humu ndani maana kila mtu ana akili,fikra,mawazo,mtizamo,ushabiki tofauti... kuwa na busara na ukiwa unatoa hoja uwe na source lasivyo watakushambulia watu humu kama mwizi, ok nisikutishe karibu karibu karibu...
 
Hahaa haaa Lol! poa karibu tena... lakini kuwa uvumilivu ni kitu cha msingi sana humu ndani maana kila mtu ana akili,fikra,mawazo,mtizamo,ushabiki tofauti... kuwa na busara na ukiwa unatoa hoja uwe na source lasivyo watakushambulia watu humu kama mwizi, ok nisikutishe karibu karibu karibu...

Ahsante mkuu naona wewe mkongwe, unafanyaje mpaka unakuwa premium member mbona nikiangalia wengine wako mda mrefu ila sio premium wengine sio wa muda mrefu ila ni premium.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom