BlackBerry is in the house

BlackBerry is in the house

Ina maana naweza kuwasiliana humuhumu na mtu bila wengine kujua? looo kumbe naweza wapm watu naowazimia humu hata kama hawataki? au unauliza kwanza

Yani hapa ni wewe tu Blacklebo wangu, hata sasa hivi ukiamua kunitumia PM unanitumia tu,
Ili mradi iwe na malengo mazuri.
Hebu ngoja nikutumie moja uone.
 
Huwa nazimia posts zako

Ha ha ha ha, angalia usizimike mazima aisee!!!
Bado tunakupenda bwana Black.
Karibu mwaya, utuletee maujuzi na mavituko ya huko ulipo wewe.
 
Maria Roza ahsante ofisini huwa wanakuongelea sana ila sijajua kwa nini i hope nitajua soon

Karibu sana..
Pigeni kazi, acheni kuzungumzia watu ofisini..nchi hii bado maskini sana..Hujasema wewe ni jinsia gani??


Uwe mvumilivu tu
 
Karibu jukwaani BB. Chunga lakini naona speed kali.
Hey nimejiunga leo nimependa nijitambulisha na humu kwani huwa napenda sana kuja jukwaa hili kama guest nikaona isiwe tabu ngoja tu nijiunge ili niweze kucomment kwenye hoja itakayonivutia.Yaani kuna member huwa nawazimia sana
nawapenda nyote
Ahsanteni
 
BB naona umeamua utoke vipi big up kijana unaonyesha unajua kusoma alama za nyakati maana kuna watu huwa wakija hapa na salamu wanarudishwa JF intro naona wewe umepokewa kwa nguvu zote.

All in all you are welcome!!!
 
Karibu BB. ukisikia wanaongelea kuomba ruhusa kw invisible ujue ndio mimi sawa?
 
Nikinani wana haji ya kuingia jukwaa la mambo ya kikubwa. Nahisi kuna kaubaguzi hapa.
 
naona jamaa amekuja na speed...siyo malaria sugu,tandale one
 
Karibu sana..
Pigeni kazi, acheni kuzungumzia watu ofisini..nchi hii bado maskini sana..Hujasema wewe ni jinsia gani??


Uwe mvumilivu tu

Nimesema kule kwenye kujitambulisha, mimi ni she. thanx mpendwa wewe umeokoka?
 
BB naona umeamua utoke vipi big up kijana unaonyesha unajua kusoma alama za nyakati maana kuna watu huwa wakija hapa na salamu wanarudishwa JF intro naona wewe umepokewa kwa nguvu zote.

All in all you are welcome!!!

Ahsante dena nimeona naambiwa nitoe post ya kwanza nikachagua humu nimekosea?
 
Karibu BB, tunatarajia mchango wenye akili kama ilivyo BB yenyewe, please make your self comfotable and feel at home...... sorry at work.
 
Welcome BB, but Blackberry ipi Curve, Bold,Torch,Storm or Pearl?
 
Veir Welkomein Blackberry... Au sprache ein...
Natania tu mwana, jiskie uko kwenu, nimefurahi kusikia wewe ni -me, unaweza kuanza majaribio ya PM kwangu, usiogope. Na kama ushamsikia Invizibo, mimi ndio Katibu Muhtasi wake, taarifa zote zake hupitia kwangu kwanza. KARIBU SANA!
 
Veir Welkomein Blackberry... Au sprache ein...
Natania tu mwana, jiskie uko kwenu, nimefurahi kusikia wewe ni -me, unaweza kuanza majaribio ya PM kwangu, usiogope. Na kama ushamsikia Invizibo, mimi ndio Katibu Muhtasi wake, taarifa zote zake hupitia kwangu kwanza. KARIBU SANA!

Poa assistant invizibo, ni nani huyu naona katajwa pia hapo juu ni memba mkongwe au mjanja wa jamvini tu
 
<p>
Ina maana naweza kuwasiliana humuhumu na mtu bila wengine kujua? looo kumbe naweza wapm watu naowazimia humu hata kama hawataki? au unauliza kwanza
</p>
<p>&nbsp;</p>

Yaa nahumhum ndiko utakako pata wachumba wa aina zote utakao yaani wahindi, wasomali, wazungu, waaraabu na wambulu
 
Karibu bibie mpaka uani usivue viatu pita navyo tu utapiga badae ukishapigwa ban
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom