KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Wataalam wa tiba mbadala mimi naomba kueleweshwa kuhusu hii tiba mbadala ya kutumia kifaa maalumu kijulikanacho BIODISC.
Biodisc nimeambiwa nimaji ya chemchem ambayo yamekuwa compressed nakugandishwa kitaalam nakuwa kama kitako cha glass ambacho ukikiweka katika maji yale maji yanakuwa tiba Mimi wasiwasi wangu je hakuna madhara ya baadae yatokanayo na kifaa hiki??
Na hiki kifaa kinauzwa bei ya $700 Tunaomba wenye ufaamu na ilitujuzeni.
Biodisc nimeambiwa nimaji ya chemchem ambayo yamekuwa compressed nakugandishwa kitaalam nakuwa kama kitako cha glass ambacho ukikiweka katika maji yale maji yanakuwa tiba Mimi wasiwasi wangu je hakuna madhara ya baadae yatokanayo na kifaa hiki??
Na hiki kifaa kinauzwa bei ya $700 Tunaomba wenye ufaamu na ilitujuzeni.