Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Yaani we bazazi kweli, unaelekeza mwanamme mwenzio mgodi wako ulipo?
Huwezi mpata huyo mchuchu kwa uelewa huu
Hahahahahahah,
Hawa vijana wa siku hizi hata sijui wako....
Umenikumbusha enzi zile, ....kulikuwa na dogo anaiba pesa kwao na kuwapa washikaji wamsaidie kutongoza...Mwisho wa siku aligundua pesa zake zinawasaidia washikaji kujisevia!!
Babu DC!!