She is good in customer care.......yaani umedata mpaka nouma mazee angekuwa hotel attendant naona ungehamia hapo usahau na kwako.....wanaume tujikaze jamani
Kama ulichoongea ni sahihi basi si vizuri lakini nafikiri kama mtu ana tabiamimi tatizo langu ni sisi wanaume wa kiafrika
ukimpata mwanamke wa kihindi au kiarabu....uko tayari kufanya lolote
kumfurahisha......kuliko mwanamke mswahili mwenzio.....
uko tayari kutumia pesa nyiingi na kumdekeza kila aina
lakini mwanamke wa kiswahili utashindana nae hata matunzo ya watoto.....
tunathamini rangi zingine kuliko tunavyojithamini sisi wenyewe....upumbavu saana huu
Tatizo naonekana nimependa kwa sababu ya kuminywa, sivyo nimempenda yeye kamaUmenifurahisha sana niliwahi safiri kikazi na jmaaa mmoja ofcn! tulikua businessclass emirates! sijui jamaa ajawai kusafiri na kuona labda wa dada wa kwenye ndege wanampenda sana kumuuliza anachotaka na anajisikaje jamaa si akaanza kuongea pumba kumbe wenzie walikua kazini ( customer care)!!
Toa tafsiri basi!
We ukienda tena mwambie "jhinga nae kush lainh.." ukiona kakujibu: "nehii..nehii.." ujue hapo mambo kushney..yaan ushamaliza mchezo hapo..
Tatizo naonekana nimependa kwa sababu ya kuminywa, sivyo nimempenda yeye kama
yeye jamani kule kuminywa ni jambo lingine ambalo limezidisha msukumo yaani ule mminyo.................
Usipate shida liko karibu sana na duka la SAPNA