Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Mbona umekimbia kule jumla? Na Carba umeondoka naye? Au ulikuja kutuibia tu?a real woman doesn't help u spend your money she helps u to make more money
Mbona umekimbia kule jumla? Na Carba umeondoka naye? Au ulikuja kutuibia tu?a real woman doesn't help u spend your money she helps u to make more money
Habari yako fundi.Aiseee
Natambua saana, tena huduma inakuaga yenye ubora wa kiwango cha juu saana, una maoni gani hapa?Kumbe unajua.
Niko poa nashukuruPoa fundi wangu
Uko poa ww?
Sounds goodNiko poa nashukuru
Yes..ujue mtu anayekugharamikia kwa kiasi kikubwa basi ni lazima umfurahishe pia, unampa atakacho kwa nidhamu ya hali ya juu. Wote mnanufaika..sio mmoja tu aumie.Natambua saana, tena huduma inakuaga yenye ubora wa kiwango cha juu saana, una maoni gani hapa?
Mbona umekimbia kule jumla? Na Carba umeondoka naye? Au ulikuja kutuibia tu?
hahaha hapo ssKweli kabisa woyooo Miller lakin hapa umemaanisha ajue kuzitumia vyema pia ni Kama mtego kwa watakaokuwa hawajachambua
Mkuu Demi wakati kama huu inatakiwa uwe umeshafungua milango kule, maana unaonesha uzoefu na uelewa mkubwa saana wa mambo hayaYes..ujue mtu anayekugharamikia kwa kiasi kikubwa basi ni lazima umfurahishe pia, unampa atakacho kwa nidhamu ya hali ya juu. Wote mnanufaika..sio mmoja tu aumie.
Teh..kwani kuna lock?Mkuu Demi wakati kama huu inatakiwa uwe umeshafungua milango kule, maana unaonesha uzoefu na uelewa mkubwa saana wa mambo haya
Ndiyo legeza kidogo tafadhali nijipenyeze hahahahTeh..kwani kuna lock?
Bomoa kufuliNdiyo legeza kidogo tafadhali nijipenyeze hahahah
Ngoja nivunje, umemaanisha "kufuli" lipi hasa madam?Bomoa kufuli
La NandyNgoja nivunje, umemaanisha "kufuli" lipi hasa madam?
Hahahaha, ila Nandy kwa kufuli lile nilimuelewa saaana, hakuna haja ya kuvunja ni kutanua tuu unafikia malighafi yooteLa Nandy
Watu wanaponda ila mi sikuona tatizo la lile kufuli. Ili mradi halikuwa chafu liko poaHahahaha, ila Nandy kwa kufuli lile nilimuelewa saaana, hakuna haja ya kuvunja ni kutanua tuu unafikia malighafi yoote
Utawaweza watu? aina ile ya kufuli inafaa saana kwenye uzinduzi, design mtoto kama hataki kutoa sasa wewe hujisumbui ni kusogeza pembeni tuuu unapita na kasi ya 4GWatu wanaponda ila mi sikuona tatizo la lile kufuli. Ili mradi halikuwa chafu liko poa