Kuna msichana ambaye tumejuana kwa wiki tatu sasa na tayari ameanza kuniomba pesa za mahitaji yake.
Hii hali sasa imeanza kunichosha naanza kumchukia taratibu siku zingine akipiga simu sipokei maana sipendelei kuombwa pesa kanakwamba mimi nimekuwa baba yake mzazi
Nahisi kuwa anathamini zaidi pesa kuliko uhusiano wetu kwani bado hatujafahamiani vya kutosha.
Nb: Ukiona mtu kaweka mbele pesa zaidi ya uhusiano, kuwa na tahadhari sana kwani msingi wa uhusiano huo utakuwa ni pesa na zikimalizika utaporomoka. Mapenzi bila pesa si mapenzi
Asa mtu mwenyewe hasimamishiakikuomba hela we mwambie njoo uchukue
akija unaliamsha dude kisha unamkopa yeye
Atoboe mgomba ni bureKwakweli, hamu zake ndio mbaya wake wala sii huyo mwanamke.
Mwanaume yeyote ukimtokea na kumsimamisha au kumsalimia msichana, cha kwanza anaangalia muonekano, hapo hujamuuliza chochote, anajaribu kuamsha jicho la tatu aweze kujua kama pesa ipo ama lah. Pesa ni kila kitu kwa dada zetu hakuna mapenzi, kama yapo basi yanauzwa.
Na niwakavu kweli mkuu mpaka hawana ladha nyoko kbs,Ndio maana kaka yako hapa nimeamua kwenda kuoa Japan na kamwe sitarudi kudate mademu wa kibongo, madwemu wana njaa mpaka kwenye matobo ya chupi kumamaee!! na wengi wao siku hizi hawana hata nyege wapo wapo tu kama wapepigwa sindano ya ganzi sababu ya NJAAA.
That is not real woman law, that is hoe and bitches law.a real woman should only know how to spend her mans Cash.
mbona umetumia maneno makali sana chief?That is not real woman law, that is hoe and bitches law.
Real woman should now the financial status of her husband and they can use the money for there own good. If shit goes south, a real woman will know how to help her husband to rise up again.
Bitches and hoes will abandon the ship when things goes south.



No. Huo ndio ukweli man. Take a look around.. nadhan unajionea ukwelimbona umetumia maneno makali sana chief?![]()
Naona unatafutwa kupigwa mawe to death.a real woman doesn't help u spend your money she helps u to make more money
HahahaNaona unatafutwa kupigwa mawe to death.
Lakini wengi huwa hatupendi kuusikia huo ukweli.Hahaha
Hapana kila mtu anajua huo ndio ukweli
YeahLakini wengi huwa hatupendi kuusikia huo ukweli.

siuoni huo ukweli mmNo. Huo ndio ukweli man. Take a look around.. nadhan unajionea ukweli
Hongera mkuuYeah
As long as my girl is doing it
Sina shida na wengine![]()
HahahaHongera mkuu
Lugha gonganambona umetumia maneno makali sana chief?![]()