Kichaafulani
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 1,295
- 1,275
Safi saaana kwa kuwa mkweli, au ahkutaki tuu anatumia udhaifu huo kukufikishia ujumbe kwamba humfai tena?ndio sina najiuliza ntazipata wap?
Safi saaana kwa kuwa mkweli, au ahkutaki tuu anatumia udhaifu huo kukufikishia ujumbe kwamba humfai tena?ndio sina najiuliza ntazipata wap?
Ni kutafuta na kutumia raha ya pesa ni kutumiaWanatumia michepuko, tumestuka watafute tu sie tutatumia.
Wewe ukawe padre tu kwakweli.
Hapo sawaKama una nisaidia ku make money then una haki ya kuspend na ukisha pata utamu wa kuspend utanisaidia ku zimake zaidiii
WatakuwepoHv hawa bado wapo miaka hii!
Hata mimi sihitaji madogo madogo kama chakula, nguo nk. Nataka pesa ya maana.Lakini mimi ntakuwa nzibia mapengo makubwa makubwa tuuuu, yale madogo jamaa aendeleee kutimiza wajibu wake
Ndio ujue Sisi tunajua kunyoosha![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa kweli Ney kajitahidi sana na uzuri ana mambo ya ki international zaidi
Haswaaa! AtiNdio ujue Sisi tunajua kunyoosha
Basi muoe ili nae apate.wenye pesa zao wote wameolewa sijui itakuwaje sasa
nyinyi ndo walewale
Huu utaratibu ndiyo mzuri, unakata kama 1m hivi halafu unafurahia huduma kwa kipindi kirefu, lakini uaminifu ni jambo la muhimu saanaHata mimi sihitaji madogo madogo kama chakula, nguo nk. Nataka pesa ya maana.
Mimi sikukufundisha kuhusu talaka kabisaaaa, unatoaje talaka sasa!!! Unakomaa hadi kieleweke.![]()
![]()
![]()
![]()
Mentor ndio kusema usha nichoka!!
Mimi ntakuwa mume na baba bora mafundisho yako mengi nayachukua kasoro hili
Kumbe unajua.Huu utaratibu ndiyo mzuri, unakata kama 1m hivi halafu unafurahia huduma kwa kipindi kirefu, lakini uaminifu ni jambo la muhimu saana