Binti nimpendae anataka hela tu

Binti nimpendae anataka hela tu

hahaha usishindwe braza....we ndugu yangu bwana, ss kama naingia shimoni unaniacha tu sababu umeshindwa!
Idea ya mwanamke kukusaidia ku make money siyo lazima afanye kazi na yeye akupe pesa anaweza kukusaport tuu kwa idea za kuboresha biznez, kusaidia kufunga mahesabu, kutafuta ushuri kwa watu, kutafuta wateja etc.

Mimi hata huku porini nilipo now ni Ney ndio alinipa hiyo Idea. Nikisha rudi na mzigo hata akispend ni haki yake.
 
Idea ya mwanamke kukusaidia ku make money siyo lazima afanye kazi na yeye akupe pesa anaweza kukusaport tuu kwa idea za kuboresha biznez, kusaidia kufunga mahesabu, kutafuta ushuri kwa watu, kutafuta wateja etc.

Mimi hata huku porini nilipo now ni Ney dio alinipa hiyo Idea. Nikisha rudi na mzigo hata akispend ni haki yake.
aiseee
 
kwa nini umemchagua ambae hana hela sasa? manake ni chaguo lako hilo.. inatakiwa upate anaejitegemea kwa hivyo vitu vidogo vidogo kama peruvian hair na kodi ya nyumba nk.. wewe upigwe mizinga mitakatifu kama baby nimepata kiwanja nimepungukiwa milioni 10 niongezee, au nimechoka hii IST nataka Mark X bby nina milioni tano niongezee..
eti niongezee... [color=blue/]kama anataka hela aende bank
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom