Binti ananitishia kunifanya ndondocha

Binti ananitishia kunifanya ndondocha

Hivi waarabu mnawajua au mnawasikia?

watu wa bara wengi mkiopoa hata mnyaturu mnakuja kusema mmepata binti wa kiarabu...

tembea uone
hahahahaha. perhaps the girl ana karangi kaunjano kidgo jamaa kajua ni muarabu.
 
Hivi bado kuna watu wanaamini kuwa kuna rangi ya pekee ya binadamu ya kufanya mambo ya pekee kwa namna ya pekee kuliko yanayofanywa na rangi zingine?

Nimebahatika kupata binti mrembo wa Kiarabu kiukweli ananipa mapenzi moto moto/miuno ya kufa mtu lakini sasa kila wiki anadai anaenda kwa mara Mganga wa kienyeji ili watusomee dua ya kutufanya mambo yetu yawe mazuri.

Daah nimejitahidi kumshauri aachane na hayo mambo lakini hanisikilizi. Sasa ametishia kama naendelea kumzingua atamuambia mganga niwe Ndondocha daah!

Nataka nimmwage lakini namwachaje aisee!
 
green_penis_syndrome.jpg
 
Mlete kwangu
Nimebahatika kupata binti mrembo wa Kiarabu kiukweli ananipa mapenzi moto moto/miuno ya kufa mtu lakini sasa kila wiki anadai anaenda kwa mara Mganga wa kienyeji ili watusomee dua ya kutufanya mambo yetu yawe mazuri.

Daah nimejitahidi kumshauri aachane na hayo mambo lakini hanisikilizi. Sasa ametishia kama naendelea kumzingua atamuambia mganga niwe Ndondocha daah!

Nataka nimmwage lakini namwachaje aisee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu afadhari wewe, mimi kuna dem nilimsaundisha nikaleta zile swaga za HIT AND RUN kumbe dem mganga wa kienyeji.... mbilinge ninalokumbana nalo sasa sio la sayari hii.
 
Nimebahatika kupata binti mrembo wa Kiarabu kiukweli ananipa mapenzi moto moto/miuno ya kufa mtu lakini sasa kila wiki anadai anaenda kwa mara Mganga wa kienyeji ili watusomee dua ya kutufanya mambo yetu yawe mazuri.

Daah nimejitahidi kumshauri aachane na hayo mambo lakini hanisikilizi. Sasa ametishia kama naendelea kumzingua atamuambia mganga niwe Ndondocha daah!

Nataka nimmwage lakini namwachaje aisee!
Hi Mr. Ndondocha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom