Binti ananitishia kunifanya ndondocha

Binti ananitishia kunifanya ndondocha

Kama umempenda hata akikufanya ndondocha sio kesi sana,simnasemaga "mahaba niue nye?"
 
Nimebahatika kupata binti mrembo wa Kiarabu kiukweli ananipa mapenzi moto moto/miuno ya kufa mtu lakini sasa kila wiki anadai anaenda kwa mara Mganga wa kienyeji ili watusomee dua ya kutufanya mambo yetu yawe mazuri.

Daah nimejitahidi kumshauri aachane na hayo mambo lakini hanisikilizi. Sasa ametishia kama naendelea kumzingua atamuambia mganga niwe Ndondocha daah!

Nataka nimmwage lakini namwachaje aisee!

Kimsingi nafikili atakua anakutisha tu ili akukamate uwe nae akihofia siku moja utamuacha japo usipuuze,kama wewe ni wa MUNGU mshinde kwa maombi na dua sahihi za muumba,kama na wewe ni mdhambi pita anakopita ili kama mbwai na iwe mbwai tu!
 
Acha kushamba,umepata mwarabu wa kidigo...ndio kelele apa....!
 
Nimebahatika kupata binti mrembo wa Kiarabu kiukweli ananipa mapenzi moto moto/miuno ya kufa mtu lakini sasa kila wiki anadai anaenda kwa mara Mganga wa kienyeji ili watusomee dua ya kutufanya mambo yetu yawe mazuri.

Daah nimejitahidi kumshauri aachane na hayo mambo lakini hanisikilizi. Sasa ametishia kama naendelea kumzingua atamuambia mganga niwe Ndondocha daah!

Nataka nimmwage lakini namwachaje aisee!

Hakuna ukweli kwenye hili na hata story yenyewe, Haya mambo tulikuwa tukisimuliana vijiweni Enzi hizooo
 
Hahahaja,wazee wa mahaba niue.

Acha akufanye ndondocha,kwani siunampenda bhana
 
Ombea akufanye ndondocha kuliko akubadilishe jinsia ya hisia zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom