Tetesi: Binti aitwaye Farida ametekwa

Tetesi: Binti aitwaye Farida ametekwa

Nitoe ushauri tu hata kama hamtaki kushauriwa.

Ukitaka kufanya au kwenda kinyume na WATAWALA.. kwa kutumia TECHNOLOGY hasa social media etc basi hakikisha unakuwa ANONYMOUS. sasa ww ni mwanaharakati wa mtandaoni ila bado umejipost mara uweke namba za simu hapo hapo.. unategemea nini?

Sometimes wazee wa Spana mtumie akili..
Tulia dogo, we subiri nguna iive hapo kwa bimkubwa.

Kuna chalii zimevurugwa na wala haziwazi kuuawa wala kupotezwa.
 
Sasa kama hawazi kuuawa au kupotezwa.. mnaposti huku ili iweje? Si mkae kimya..?
Hayo muulize aliyepost, mimi nimekuoa intro tu kua kuna watu hawajali kupotezwa wala kuuawa.

Kutojali kwao hakuondoi kua wao ni binadamu na wana haki ya kuishi isiyopaswa kuondoshwa kwa namna yoyote isipokua kama hukumu ya kunyongwa, so kama hajahukumiwa kunyongwa basi ana hali ya kua hai.
 
Hayo muulize aliyepost, mimi nimekuoa intro tu kua kuna watu hawajali kupotezwa wala kuuawa.

Kutojali kwao hakuondoi kua wao ni binadamu na wana haki ya kuishi isiyopaswa kuondoshwa kwa namna yoyote isipokua kama hukumu ya kunyongwa, so kama hajahukumiwa kunyongwa basi ana hali ya kua hai.
Na mm nilimjibu aliyepost.. ww ukaingilia.

Sasa kama ww binafsi haujali uhai wako ndio atokee mtu pembeni akujali?

Ifike mahala akili itumike kuliko hisia... pia kukubali kujifunza kutokana na makosa. Hakuna popote hapa Duniani kuna UHURU. Uhuru wa kweli upo kaburini.
 
Wewe tulia, nmeshakupa ushauri oga vizuri jitakase lotion 🧴 mwili mzima, jipige maperfyumu halafu vaa bikini na kipensi, unga mb za jero kaa hapo kwenye sofa tulia.
Duh...🤣
Akifanya ulivyomshauri ni vyema.
Ila kama ameelewa tafsiri.

Huyu jamaa anaonekana ana hofu halafu mwoga kuliko woga wenyewe.
Mambo kama hayawezi yeye atulie huko aache wanaume wafanye yanayowahusu.
Yowe ya nini wakati msiba haukuhusu.
 
Duh...🤣
Akifanya ulivyomshauri ni vyema.
Ila kama ameelewa tafsiti.

Huyu jamaa anaonekana ana hofu halaf mwoga kuliko woga wenyewe.
Mambo kama hayawezi yeye atulie huko aache wanaume wafanye yanayowahusu.
Yowe ya nini wakati msiba haukuhusu.
Ndio hapo sasa wewe umenielewa, yeye akae atulie hii shoo haimuhusu.
 
Hivi watanganyika milioni 60 tunashindwa kumteka Abdul? Abdul atekwe mara moja.
 
Ni tetesi chanzo cha habari hakieleweki

Ila kwa hali ya nchi hii inavyoenda inawezekana ikawa kweli
Na kama ni kweli basi ni hatari sana maanake raia hatupo huru kabisa!
 
Na mm nilimjibu aliyepost.. ww ukaingilia.

Sasa kama ww binafsi haujali uhai wako ndio atokee mtu pembeni akujali?

Ifike mahala akili itumike kuliko hisia... pia kukubali kujifunza kutokana na makosa. Hakuna popote hapa Duniani kuna UHURU. Uhuru wa kweli upo kaburini.
Kuna sheria za kuhukumu watu kwa makosa waliyotenda, sio kutekwa wala kuuawa.

Kinachopigiwa kelele ni pamoja na hilo, hata kama hajali uhai wake, kaitukana serikali, kamtukana raisi kuna sheria inabidi zifuatwe na sio kutekwa ama kuuawa.

Mahali popote ukiendekeza hilo hata wewe hutokua salama.

Umeiona habari ya binti kujiteka akidai katekwa na watekaji wanahitaji 10M?? Sababu kubwa ni hiyo trend ya kutofata sheria na kutekana hovyo.

Wengine wanatumia hiyo loophole kufanya yao.
 
Hii serikali isipotolewa 29 October, Damu nyingi zitamwagwa uko mbeleni.
 
View attachment 3479971

Utaishauri nini familia ya huyu binti ikuelewe isiingie barabarani kudai haki?
Rais anataka raia wote wawe chawa? Hataki kupingwa? Kuna democracy kweli? Shankupe limejichokea yaani mbwa wake hao wanakateka hata kabinti kama haka? Hilo libibi lazima litakuwa ni lichawi sana
Screenshot_20250928-022733~2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom