Bingwa wa Kutuma salamu?

Bingwa wa Kutuma salamu?

Bila shaka utakua ni mtangazaji wa TBC, hili shirika bado liko kwenye ujima. Viongozi vihiyo wasiokua na maono ndio maana mpaka leo hii wanaendelea na vipindi vya miaka 1990's.
Wazazi wako waliokuwa wanasikiliza radio Tanzania dsm ni wajima? Je wazazi wako ni vihiyo hawana maono? Mzazi wako anaposikiliza nyimbo za akina sikinde, rwambo, marvine gaye, sosoliso ni vihiyo na wajima?
 
KUPANGIANA JINSI YA KUISHI SASA HIYO

OVA
 
Wazazi wako waliokuwa wanasikiliza radio Tanzania dsm ni wajima? Je wazazi wako ni vihiyo hawana maono? Mzazi wako anaposikiliza nyimbo za akina sikinde, rwambo, marvine gaye, sosoliso ni vihiyo na wajima?

Ndio ni vihiyo,binadamu unatakiwa kubadilika kutokana na wakati. 21st century uwezi kuishi kama 20th century.
 
Hilo jina ulilipata kwa kuangalia michezo ya kuigiza. Ushamba tu huo. Jangala!
Mkuu hawa jangala ni wale ma-ngongoti na nilikuwa nawaogopa sana hvyo nikaamua kuwaenzi.
 
Alafu wanamajina yao maarufu sana kama mtaaram wa kuingiza vocha bila kukwangua , mama baloteli, raisi wa wachafu etc wananiachaga hoi hawa watu [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Watu waachwe wawe huru waamuwe lolote juu ya maisha yao, ndugu zao, wapendwa wao......ilimradi hayo yote si jinai.
 
Alafu wanamajina yao maarufu sana kama mtaaram wa kuingiza vocha bila kukwangua , mama baloteli, raisi wa wachafu etc wananiachaga hoi hawa watu [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mtoa post ndio mshamba kupindukia kuna watu wamekuwa maarufu kupitia vipindi hivyo vya salamu redioni na wamekuwa hata family friends
 
MTOA MADA UNA HOJA DHAIFU SANA... KWANI KILA MMOJA ANAJUA KUANDIKA SMS,KUTUMIA WATSAPP NA JE KAWA HANA ACCS YA WATSAP..? HATA HIVYO WEWE UNAUMIA NINI ,KAMA HUNA WAKUKUTUMIA SALAM KAUSHA TU
 
Hayo majina utayasikia radio one matangazo ya vifo mkuu, so ngoma droo na hao wa Kakonko,katavi na Sumbawanga.
Hata mimi huwa inashingaza hao wanaopelekewa taarifa za msiba hawana simu?
Msiba ni taarifa si salam. Kuna tofauti kati ya salam na taarifa.
 
MTOA MADA UNA HOJA DHAIFU SANA... KWANI KILA MMOJA ANAJUA KUANDIKA SMS,KUTUMIA WATSAPP NA JE KAWA HANA ACCS YA WATSAP..? HATA HIVYO WEWE UNAUMIA NINI ,KAMA HUNA WAKUKUTUMIA SALAM KAUSHA TU
Uweze kupiga simu redioni ushindwe kutuma sms?!
 
Back
Top Bottom