Bingwa wa Kutuma salamu?

Bingwa wa Kutuma salamu?

Hata mimi sioni faida yake katika zama hizi za teke linalokujia
 
hawavunji sheria yoyote, na ni sehem ya furaha yao..... nadhan upuuz apa iwe ni kuchukia legal issues wafanyazo wengne kisa tu we hupend au unaonaje?..... anyway neno lako cyo sheria,,,
 
Kuna mwengine anamuamsha mkewe alielala nae kitandani ss huwa najiuliza badala ya kumstua hapo kitandani unatuma text redioni ataamkaje
 
umenikumbusha wakali wa salamu..RTD na Radio One
Chidi Chidi Chitenda
Chesko mzee wa Matunda
 
Hivi ni kwanini usimtumiane hizo salamu kwa SMS au whatsapp..?

Hiyo whatsapp na sms ni za juzi tu, wazee wetu hawajui whatsapp wa sms.

Pili, kusikika redioni kwa wapenzi wa salamu ni jambo linawapendeza.

Nachelea usije kuanza kuwaona mashabiki wa soka kina Okw Boban Sunzu, Balantanda, na Amavubi kuwa ni wajinga kwenda Uwanjani kuangalia mechi ni wajinga wakati mechi inaonyeshwa kwenye TV.

Vv
 
Hutoka usikie mtu anapiga simu kutoka moshi, marangu,rombo,mwika,kibosho,uru,oldmoshi,same,au machame. Utaskia kakonko,katavi na sumbawanga. Jiulize kwanini?
Hayo majina utayasikia radio one matangazo ya vifo mkuu, so ngoma droo na hao wa Kakonko,katavi na Sumbawanga.
Hata mimi huwa inashingaza hao wanaopelekewa taarifa za msiba hawana simu?
 
Hutoka usikie mtu anapiga simu kutoka moshi, marangu,rombo,mwika,kibosho,uru,oldmoshi,same,au machame. Utaskia kakonko,katavi na sumbawanga. Jiulize kwanini?


Umri wako ndio tatizo. Kuna mzee kule Machame Kisiki Moshi, anaitwa Zakaria Ndefoo, huyo ni kati ya mabingwa wa salamu enzi za Idhaa ta Taifa, na Idhaa ya Biashara za RTD.

Vv
 
Zamani zile kadi za salamu redioni zilikuwa zinauzwa.. So Radio stations zilifanya biashara..
Pia kutuma salamu imekuwa kama njia ya kujenga mahusiano +ve kwa R.stations na waskilizaji..ni kuwafanya wasikilizaji wajisikie vizuri na waendelee kuwa wasikilizaji wa kudumu..
Pia kuna watu wamejijengea umaarufu mkubwa kupitia salamu za redioni na ikawasaidia kwenye biashara zao..
Mf. Kwa wasikilizaji wa RFA toka early 2000's watakuwa wanawafahamu Kamanda Top Manyota Top manyota, kamanda wa wakinga Tanzania nzima (huyu alikuwa anauza vifaa vya umeme kule Tunduma), Mwili Obare na Mzee wa Busara Lawena Nsonda kutoka Makongoros Chunya Mbeya.
 
Mtazamo wako usiufanye ndo mtazamo wa wote, umasikini wa mawazo ni ulemavu mbaya sana.
 
Back
Top Bottom