Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,146
7,909
Mpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.

Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.

Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.

Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
 
Mpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.

Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.

Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.

Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Simba nao wafanye nini? 😅😅

Mna majanga yenu mengi tu, hebu elekeza ushauri kwenye timu Yako.
 
Ndio kundi la kifo linavyokuwa, sio group timu ina points 10… sio kundi ni la mpira hilo ila rede.
Sio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu

Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita

Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.

Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
 
Mpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.

Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.

Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.

Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Another stupid post. Don't you have something better to do with your time?
 
Ndio kundi la kifo linavyokuwa, sio group timu ina points 10… sio kundi la mpira hilo ila rede.

Group pekee michuano hii timu ina points 10 🤣🤣🙌🏾
Kama ni mpenzi na mfuatiliaji wa kweli wa mpira na naamini uko hivyo, utajua katika mashindano yote "kundi la kifo" linatambulika mwanzoni mwa mashindano kutokana na wingi wa timu zenye viwango katika kundi moja. Hausemi kundi ni la kifo katikati ya mashindano kisa timu zinakaribiana point. Kundi la Yanga halina vigezo vyovyote la kuwa kundi la kifo.
 
Sio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu

Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita

Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.

Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
Hivi kwa nini timu zikicheza na Yanga zikafungwa zinageuka kuwa mbovu? Hii Yanga ni bora sana.
 
Sio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu

Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita

Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.

Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
Sasa hizi story za enzi ya Mwalimu za nini tena?
Tuongelee wakati uliopo tafadhali, ukitaka kuleta story hata sisi tutakuambia tumecheza fainali msimu uliopita.
 
Kama ni mpenzi na mfuatiliaji wa kweli wa mpira na naamini uko hivyo, utajua katika mashindano yote "kundi la kifo" linatambulika mwanzoni mwa mashindano kutokana na wingi wa timu zenye viwango katika kundi moja. Hausemi kundi ni la kifo katikati ya mashindano kisa timu zinakaribiana point. Kundi la Yanga halina vigezo vyovyote la kuwa kundi la kifo.
Ndilo kundi pekee ambalo kila timu imeshinda kombe la ligi kuu nchini kwao msimu uliopita.
Kuna sababu kubwa kuzidi hiyo?
 
Sio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu

Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita

Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.

Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
Mzeebaba mmeshindwa kuwafunga jwaneng na asec ndo mngewafunga ahly na crb? Hauko serious wewe. Halafu Mambo ya kuongoza kundi misimu iliyopita haiwezi kukupa faida yoyote kwa sasa, acha ushabiki uongee vitu vya maana. Yaani kumfunga wydad ambaye kafungwa na timu zote kwenye group mnajiona mmeshafika finally.
 
Sasa hizi story za enzi ya Mwalimu za nini tena?
Tuongelee wakati uliopo tafadhali, ukitaka kuleta story hata sisi tutakuambia tumecheza fainali msimu uliopita.
Kwani umesahau tulipotoa sare na Al Ahly mlisema Al Ahly ameshuka kiwango sio kama alivyokuwa zamani?

Sasa hiyo zamani mliyokuwa mnaitaja kuwa Al Ahly alikuwa bora ndio hiyo hiyo niliyomuongoza kwenye kundi.
 
Back
Top Bottom