Niogope nini sasa?Duuh huogopi. ...?
Hata mimi nakuunga mkono ndugu, unajua Afrika pamoja na Tanzania tunapoteza Asili yetu kwa kuwafuata hawa Wazungu , kuwanyeyekea na kuwatii kana kwamba kila wanachokifanya kiko sahihi 98% kumbe sio!. Kumuoa binamu yako ni sahihi coz hata mila la Tanzania zinaruhusu ufanye hivyo labda nyie wenyewe mshindwe tu kufikia maamuzi ya kukaa pamoja kama mke na mume. Narudia tena kwamba ni halali kuomua au kuolewa na Binamu yako. Tafakari kwa kina na Uchukue maamuzi sahihi, sisi ni washauri tu ila maamuzi ni yenu nyie wawili.wakuu mbona Waarabu wanaoana mtoto wa ma mdogo na wa ma mkubwa. mtoto wa ba mdogo na wa ba mkubwa . na huyo binamu ndiyo kabisaa
Kasie we mpe tu aondoe nuksi huenda kapigwa sana kibuti na mabinti.
Nalimhola ilumbulyane!iiiiiggghhh!!! Bhangosha. .... ulimholaa. ..
Changamka bwn mtoto wa mbagala.Mimi ni bibi wa Dar.... Mbagala maji matituz
Hapana....