Binamu Nyama ya Hamu..

Binamu Nyama ya Hamu..

Yaani nazidi kuwaelewa wanaume kila uchao. ...
Wakati nyie mkifikiria gharama... mie nafikiria utu wangu na heshima ya undugu.....

Kama tatizo ni pesa ntamrudishia gharama hata mara tatu yake ila tuu asijilete tena akitaka nimpe sambusa yangu akuu.
Kasie wanaume mashetani yetu yakiamka kwa mtu fulan hayalali mpaka ndoto imetimia. Kumaliza hiyo kesi you have to kill him softly ila ukijifanya una midharau ipo siku itabaki story tu.
 
Kuna kipindi binamu yangu alinisumbua sana, nikamwambia wewe ni Dada yangu, akaja na hadithi eti mbona wahidi na waarabu wanaoana? Nikamwambia yao ni wahindi na Mimi ni Mimi. Kwenye jamii yetu itatushangaa. Sikukubali

Mlimalizanaje alikuelewa? au bado anakusumbua? au ulimpa kutii kiu yake?
 
Na binamu yako, hatoishia hapo. Anachokifikiria yeye kuwa ni mahaba juu yako kitaanza kubadilika kuwa kitu lingine baada ya huu mkasa wa safari yake. Kama walivyopendekeza wengine, ungemweleza kiungwana hata kama asingeelewa lakini isingempa machungu.

Kwakweli labda anileweshe kwa madawa ya kulevya ndo anipate, hivihivi asubiri niwe kigagula nguvu za kupambana nae sina. Nahivi ni binamu wala simtafuti wala simsemeshi. Tukikutana kwenye dhifa za kindugu ntamsalimia tuu akiuchuna atajijua ..... ole wake tuu atangaze maneno ndivyo sivyo..... safari hii ntamkata mtama hadharani.

Shida moja nilishikwa na hasira, maana ujue tulizozana sana kutokea airport hadi tunafika hotelini. Sasa mtu wa hivi ningempeleka kwangu si angeniletea shida. Maana angegoma hata kuondoka na mie siwezi muachia nyumba. Ila nimejifunza vitu vingi na nimezidi kuongeza uelewa wangu juu ya wanaume. Asante sana Sam.
 
Kasie wanaume mashetani yetu yakiamka kwa mtu fulan hayalali mpaka ndoto imetimia. Kumaliza hiyo kesi you have to kill him softly ila ukijifanya una midharau ipo siku itabaki story tu.

Hhaahahahaaa jamani usiseme hivyo unakuwa unamuongezea dua zake za kunipata. Kiukweli kwanza simfeel atleast angekuwa namimi nina hisia nae. Sasa naanzaje kuweka machejo yangu akati ni binamu yangu?? halafu hisia haziji kabisaa....
 
Hhaahahahaaa jamani usiseme hivyo unakuwa unamuongezea dua zake za kunipata. Kiukweli kwanza simfeel atleast angekuwa namimi nina hisia nae. Sasa naanzaje kuweka machejo yangu akati ni binamu yangu?? halafu hisia haziji kabisaa....
Kasie,

Acha kuwa na roho ngumu muelewe mwenzako.

Ukisema kuwa huna hisia nae sio ishu sana maana hisia hutengenezwa Mkuu.

Kwanza nina uhakika binamu yako atakujali na kukutunza kuliko mtu baki.

Atakuwa na ubinamu juu yako wewe so hata usaliti hautakuwepo mamii.
 
Naona kuna haja ya kuogea maji ya bahari yaliyochanganywa na magadi pamoja na ndimu...Nauli kwenda na kurudi ni kama 1.5M na kitu...sijui angepata mbunye ngapi kama angeziwekeza pale Hyena Stadium?
Hahaaaaaa, dah JF hata ukiwa n'a hasira utacheka tu. Maana nimewaza hiyo idadi ya mbunye zikiwa zimepangwa!!!!!
 
Kasie,

Acha kuwa na roho ngumu muelewe mwenzako.

Ukisema kuwa huna hisia nae sio ishu sana maana hisia hutengenezwa Mkuu.

Kwanza nina uhakika binamu yako atakujali na kukutunza kuliko mtu baki.

Atakuwa na ubinamu juu yako wewe so hata usaliti hautakuwepo mamii.

Mmmmhhhh haya nahukuru kwa ushauri, nikizidiwa saanaaa ntaufukunyua huu ushauru hapa na kuufanyia kazi kwasasa nauhifadhi sandukuni.
 
Atakuwa kuna kitu anatafuta si bure....
Yaweza kuwa anafanya dawa za kishirikina. We utafanyaje mapenzi na binamu.... yaani namuepa kuanzia sasa sitaki hata kumsikia wala kumuona.
Kasinde. Napingana na wewe, jamaa anakupenda kikweli. Huo ushirikina akufsnyie wewe kwasababu zipi? Kumpenda binamu si dhambi, inategemea unatoka kabila gani. Makabila ya ukanda wa pwani hawana tatizo kabisa n'a huoana kabisa.

Mimi ninatoka kanda ya karo. Kwetu ni mwiko kumpenda binamu. Niliumia sana kwa miaka mingi nilitokea kumpenda binamu yangu. Yaani huyo binamu alikuwa mzuri sana. Sijawahi ona mwanamke mrembo kama Yule maishani mwangu. Bahati mbaya alikuwa kanizidi umri miaka 13. Na alikuwa anaheshimu undugu kuliko maelezo. Sikuweza hata kujaribu kumtokea.

Huyo dada alishafariki, mpaka leo bado nakumbuka urembo wake na nilivyompenda. Bahati mbaya sikuwahi kumtamkia, lakini kwakweli nilikuwa radhi nimuoe hata kama mimi ndiye Ningekuwa naonekana kuolewa na yeye.

Nina rafiki zangu wawili kutoka Tanga. Wameoa binamu zao . Hivyo mimi sioni tatizo kubwa, inategemea umetokea wapi na pia hulka ya huyo Kaka yako pamoja na hisia zako.
 
Hahaaaaaa, dah JF hata ukiwa n'a hasira utacheka tu. Maana nimewaza hiyo idadi ya mbunye zikiwa zimepangwa!!!!!
1.5M ukinunulia mbunye za tsh.5000/= unapata mbunye 300 zenye ladha tofauti.Hii ni sawa na kujaza wanawake na wakajaa kwenye lile jengo la bunge pale Dodoma au kujaza KE kwenye Youtong 5.Kazi itakuwa kwako kuchagua unataka ipi, nyembamba, pana, iliyolowa au kavu, je unataka nyeusi ama nyeupe? kubwa au ndogo?...Sasa Mkuu kuacha mbunye 300 hapa TZ na kusafiri kilomita 2460 hadi SA kwajili ya mbunye moja na hakuipata, huoni kwamba jamaa alilogwa?
 
Kwakweli labda anileweshe kwa madawa ya kulevya ndo anipate, hivihivi asubiri niwe kigagula nguvu za kupambana nae sina. Nahivi ni binamu wala simtafuti wala simsemeshi. Tukikutana kwenye dhifa za kindugu ntamsalimia tuu akiuchuna atajijua ..... ole wake tuu atangaze maneno ndivyo sivyo..... safari hii ntamkata mtama hadharani.

Shida moja nilishikwa na hasira, maana ujue tulizozana sana kutokea airport hadi tunafika hotelini. Sasa mtu wa hivi ningempeleka kwangu si angeniletea shida. Maana angegoma hata kuondoka na mie siwezi muachia nyumba. Ila nimejifunza vitu vingi na nimezidi kuongeza uelewa wangu juu ya wanaume. Asante sana Sam.

Kasinde sisi wanaume tuangalie tu hivihivi hautatumaliza, tuna mambo ya ajbu sana ambayo wakati mwingine hauwezi kuamini. Nnachoweza kukushauri, usiweke nae uadui. Nnachoamini hawezi kukubaka, ila nenda nae kwa tahadhari sana.
Kumtenga kimawasiliano hitaleta afya na itamfanya awe ni mtu wa kutaka kulipiza kisasi iwe kwa nyama au kwa mengine.
Unaweza kushangaa ukamsaidia kuondokana na hizo fikra potofu kwa kuwa nae karibu, hapo atajua kumbe kweli hauna tatizo ne isipokua tu huo mpango wake wa Singeli mpya ya hainaga ubinamu.
 
Kasinde. Napingana na wewe, jamaa anakupenda kikweli. Huo ushirikina akufsnyie wewe kwasababu zipi? Kumpenda binamu si dhambi, inategemea unatoka kabila gani. Makabila ya ukanda wa pwani hawana tatizo kabisa n'a huoana kabisa.

Mimi ninatoka kanda ya karo. Kwetu ni mwiko kumpenda binamu. Niliumia sana kwa miaka mingi nilitokea kumpenda binamu yangu. Yaani huyo binamu alikuwa mzuri sana. Sijawahi ona mwanamke mrembo kama Yule maishani mwangu. Bahati mbaya alikuwa kanizidi umri miaka 13. Na alikuwa anaheshimu undugu kuliko maelezo. Sikuweza hata kujaribu kumtokea.

Huyo dada alishafariki, mpaka leo bado nakumbuka urembo wake na nilivyompenda. Bahati mbaya sikuwahi kumtamkia, lakini kwakweli nilikuwa radhi nimuoe hata kama mimi ndiye Ningekuwa naonekana kuolewa na yeye.

Nina rafiki zangu wawili kutoka Tanga. Wameoa binamu zao . Hivyo mimi sioni tatizo kubwa, inategemea umetokea wapi na pia hulka ya huyo Kaka yako pamoja na hisia zako.

Sawa nimekusikia na kukuelewa, asante kwa maelezo yako.
 
Mlimalizanaje alikuelewa? au bado anakusumbua? au ulimpa kutii kiu yake?

Haikua rahisi lakini alinipenda sana, alikua na wivu sana, asione msichana anaongea na mimi ugomvi wake hauna maelezo.
Licha ya kuwa mkubwa kwangu lakini ilikua mtihani, tuliendelea hivyo baadae alitangulia mbele ya haki, namshukuru Mungu sana nilishinda hiyo hatua salama.
 
Kasinde sisi wanaume tuangalie tu hivihivi hautatumaliza, tuna mambo ya ajbu sana ambayo wakati mwingine hauwezi kuamini. Nnachoweza kukushauri, usiweke nae uadui. Nnachoamini hawezi kukubaka, ila nenda nae kwa tahadhari sana.
Kumtenga kimawasiliano hitaleta afya na itamfanya awe ni mtu wa kutaka kulipiza kisasi iwe kwa nyama au kwa mengine.
Unaweza kushangaa ukamsaidia kuondokana na hizo fikra potofu kwa kuwa nae karibu, hapo atajua kumbe kweli hauna tatizo ne isipokua tu huo mpango wake wa Singeli mpya ya hainaga ubinamu.

Nashukuru Sam, ngoja kwanza nipoe maana kwa sasa kila nikiliwaza tukio hadi mapigo ya moyo yanaongezeka. Kiukweli siku ile nilishikwa na hasira sana hata nikajikuta nimempiga kibao na baada ya pale sikutaka maelezo yoyote tena wala kumsikiliza niliondoka. Nikipoa naweza ongea nae kwa utaratibu ila akirudia niletea za kuleta tena nakelebu kwa mara ingine.
 
1.5M ukinunulia mbunye za tsh.5000/= unapata mbunye 300 zenye ladha tofauti.Hii ni sawa na kujaza wanawake na wakajaa kwenye lile jengo la bunge pale Dodoma au kujaza KE kwenye Youtong 5.Kazi itakuwa kwako kuchagua unataka ipi, nyembamba, pana, iliyolowa au kavu, je unataka nyeusi ama nyeupe? kubwa au ndogo?...Sasa Mkuu kuacha mbunye 300 hapa TZ na kusafiri kilomita 2460 hadi SA kwajili ya mbunye moja na hakuipata, huoni kwamba jamaa alilogwa?
Hahahahaaaaa, we jamaa ni mwafalsafa ujue!!!!! Maana hizo imagination si za kitoto!!!.

Dah inabidi huyu jamaa afikiriwe kwakweli. Kupigwa Kofi na kufungiwa mawasiliano siyo sawa.
 
Haikua rahisi lakini alinipenda sana, alikua na wivu sana, asione msichana anaongea na mimi ugomvi wake hauna maelezo.
Licha ya kuwa mkubwa kwangu lakini ilikua mtihani, tuliendelea hivyo baadae alitangulia mbele ya haki, namshukuru Mungu sana nilishinda hiyo hatua salama.

Ooooh pole kwa kumpoteza.
 
Back
Top Bottom