Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #121
Hizi mbunye zinatutesa sana mkuu. Mimi nilishasafiri kutoka San Francisco mpaka Maine kufuata mbunye kisa tu eti binti mzungu. Yaani Msukuma nipo kwenye ndege 6hrs+ kisa naenda kuonja mzungu. Baghosha!
Halafu unafika unaambulia la kelbu duh!
Hahahahahhah wanaume mmeumbiwa mateso na mikiki mikiki hima kwenu kupambana. Ni siri kubwa sana imefichwa kwenye tupu za ke.... ukiona kuna mwanaume hana hamu na ke kabisa..... ujue washamuharibu.
Wale majasiria wakisikia harufu tuu ya ke...( the odour ) mnara unainuka wima.
Pole lakini kwa safari ndefu, ulifurahia mchezo au ulitolewa knock out...?
