Binamu Nyama ya Hamu..

Binamu Nyama ya Hamu..

pole sana,

huyo binamu hata baada ya kujua wewe ni binamu yake na bado akataka,basi ni baradhuli huyo,hafai kuwa mumeo,labda ndio zake,anawaparamia dada zake na binamu zake ndio maana haogopi.......🙁🙁🙁🙁🙁

wakuu mbona Waarabu wanaoana mtoto wa ma mdogo na wa ma mkubwa. mtoto wa ba mdogo na wa ba mkubwa . na huyo binamu ndiyo kabisaa

Kasie we mpe tu aondoe nuksi huenda kapigwa sana kibuti na mabinti.
 
wakuu mbona Waarabu wanaoana mtoto wa ma mdogo na wa ma mkubwa. mtoto wa ba mdogo na wa ba mkubwa . na huyo binamu ndiyo kabisaa

Kasie we mpe tu aondoe nuksi huenda kapigwa sana kibuti na mabinti.

Hata siku moja sitakaa nimzoee wala kumkaribia. Kanichefua vibaya mnoo.
 
At fifties wanawake hamu inaongezeka
ndo maana wanahonga vijana
subiri uone

Najua ....what happens at fifties. ... ndo maana nakuwa mbishi now maana ukimchekea nyani utakula mabua. ....

At fifties ntakuwa hot mama asiee na time na mtu.....
 
Duuuh! watu tunatofautiana kweli kweli, hiyo papuchi ya kuifungia safari yote hiyo ina kiyoyozi nini?
 
Edo Kumwembe jana kaenda SA, na ana miaka kama 40 hivi...ukijumlisha 10 years unaweza kupata 50 years ambayo inaweza kuwa miaka ya Kasie!

(Just joking...)
kasie mwendo kasiiii
 
Duuuh! watu tunatofautiana kweli kweli, hiyo papuchi ya kuifungia safari yote hiyo ina kiyoyozi nini?

Uzidi kuwashangaa wanaume maana hamfanani. ... kuna wananunua nyumba ya milioni 200 na furniture ndani kisa papuchi....
Kuna wanaowalipia ticket kwenda nao Dubai na shopping juu ili tuu akamle papuchi. ... zote hizo gharama yake ni zaidi ya nauli ya SA.....

Nyie wanaume muendelee tuu kushangaana huku kila mmojawenu anazighharamia papuchi kwa namna yake...
 
He is my cousin..... my relative. ... how could I. ... I just can't. ...

Kasie.
well u could atleast give him a chance to express himself in an orderly manner & not you kumkeleb. Sasa what u have created is hatred. Belive me!
 
well u could atleast give him a chance to express himself in an orderly manner & not you kumkeleb. Sasa what u have created is hatred. Belive me!

I don't care.... He show no manners to me on the first place.... how could he start to think to have sex with me... A cousin. .. A relative...
 
Ina maana mpaka mtu anakufungua safari hata picha hujaomba?
 
You are warmly welcome mrembo. Usiogope kiserengeti boy ila kikinogewa na shughuli zako kinaweza chonga mzinga.

Sijazoea small sizes..... huwa nikijua napotea tuu mbele yao. Napenda age mate and above my age... wachonge mzinga kwa waschana wenzao sio mie granny. ..
 
Ina maana mpaka mtu anakufungua safari hata picha hujaomba?
You can emagine... unawasiliana na mtu kisha unaomba picha yake halafu anakutumia ya mbaba tuu hata hawahusiani. .... fake picture...
 
I don't care.... He show no manners to me on the first place.... how could he start to think to have sex with me... A cousin. .. A relative...
I understand your point of view kabisa. Ila mtu kakufungia safari all the way only kuambulia keleb. Sawa hakuonyesha heshima ila what if he was blinded with love & the affection he has for you. Wanaume tukipenda tunakuwaga wajinga sana. And its not likely wanaume kupenda. Mi ningekushauri ungetumia a different approach. Ungemketisha chini in a bonding way lakini kumueleza vitu sensible na hasa hisia zako kwake ni kuwa kama ndugu. Atleast mge-air out hizi mambo. Ila right now umezua balaa jingine la chuki na majuto kwa huyu kijana.
 
I understand your point of view kabisa. Ila mtu kakufungia safari all the way only kuambulia keleb. Sawa hakuonyesha heshima ila what if he was blinded with love & the affection he has for you. Wanaume tukipenda tunakuwaga wajinga sana. And its not likely wanaume kupenda. Mi ningekushauri ungetumia a different approach. Ungemketisha chini in a bonding way lakini kumueleza vitu sensible na hasa hisia zako kwake ni kuwa kama ndugu. Atleast mge-air out hizi mambo. Ila right now umezua balaa jingine la chuki na majuto kwa huyu kijana.

Okee nimekuelewa. ... ntakitahidi kushusha hasira nimweleze.... akinielewa well and good, akileta nyimbo zake tena nampa keleb ingine....
 
Back
Top Bottom