Binamu Nyama ya Hamu..

Binamu Nyama ya Hamu..

Ngono zitamaliza watu shemeji sasa binamu sijui kitakacho fuatia ni nini??
 
Naona kuna haja ya kuogea maji ya bahari yaliyochanganywa na magadi pamoja na ndimu...Nauli kwenda na kurudi ni kama 1.5M na kitu...sijui angepata mbunye ngapi kama angeziwekeza pale Hyena Stadium?
Haaaha ...eti hyena stadium ww mtu umejua kunichangamsha mbavu zangu daaaaaah
 
Kasie njoo utupe mrejesho ule ushauri wetu tuliokupa uliufanyia kazi? Natanguliza shukrani mkuu

Looh tangu 2016...!!??

Binamu alishaoa sasa hivi anapambana na familia yake, naona kipindi kile alishikwa na mfadhaiko halafu alikuwa domo zege kutongoza wanawake wengine huko duniani.

Akachukua advantage kuwa niko singo, naishi mbali na nyumbani ndo akaona aje kunilaghai...

Kile kibao kilimstua akili yake ikakaa sawa, hakurudia tena.
 
Looh tangu 2016...!!??

Binamu alishaoa sasa hivi anapambana na familia yake, naona kipindi kile alishikwa na mfadhaiko halafu alikuwa domo zege kutongoza wanawake wengine huko duniani.

Akachukua advantage kuwa niko singo, naishi mbali na nyumbani ndo akaona aje kunilaghai...

Kile kibao kilimstua akili yake ikakaa sawa, hakurudia tena.
Ile kelbu uliyompiga hataisahau... Ila Mimi Niko pamoja na wewe uamuzi uliochukua ulikuwa wa busara sana ✊ japokuwa ilikuwa fedheha kwake

Big up kasie😀😀
 
Ile kelbu uliyompiga hataisahau... Ila Mimi Niko pamoja na wewe uamuzi uliochukua ulikuwa wa busara sana ✊ japokuwa ilikuwa fedheha kwake

Big up kasie😀😀

Asantee.
 
Back
Top Bottom