Binamu Nyama ya Hamu..

Binamu Nyama ya Hamu..

Tatizo lako Kasie haya mambo unayachukulia poa sana, fikiria binamu katoka Tz to SA gharama alizotumia zilitosha kabisa kung'oa totoz kali za Chuo au Kiwanja kingine cha maana sana. But amejilipua kwako to the maxmum. Hujui nguvu inayomsukuma ndani ya nafsi yake ipoje coz, nakuhakikishia akiwa na nguvu hiyo hiyo 3 to 5 years atakupata tu believe it. Kuna dogo alimla demu flan wa huko kwetu after 9 years tena mdada alimzidi dogo age by 11 years pia kamzidi elimu na fedha pia. But mwanzo alimletea mazarau kama ya kwako, tukiwa O'level dogo alikuwa ananiambia Bro ipo siku Lucy ntamla tu but mimi sikufuatilia sikuona umuhimu but siku aliyomgonga aliondoka na sendo moja na chupi ya demu mbaya zaidi siku hiyo demu alikuwa na jamaa yake but alikuwa kalewa kimtindo, May be walimdharau kuwa ni dogo ila kilichotokea imebaki story tu. Huyo binamu yako inabidi abadili tactics tu kama amezamilia atakupata tu hata kwa kuonja. Kama umemzidi umri ulipaswa kutumia uzoefu kumtosa softly bila maumivu makali but wewe umemtosa na kelbu juu, hakika utalipa. Tatizo huwa hamjui nguvu inayomsukuma mtu kwa ndani wala usidhani ni ushirikina ni kupenda tu. Siku akikupata uje utuletee mrejesho
 
Mmmhhhh sio dhambi...!!?? Labda kama ni wasomali au waarabu maana nasikia wao ndo zao. Ajiombee mwenyewe mie hata simuombei sana sana simpi nafasi ya kinizoea. Wanawake wote hawa duniani hawamtoshi hata anifate mie? Tena ndugu...? Aahhh siwezi mambo hayo mie.
Mmh una roho mbaya wewe. Mara moja tu
 
Hahahahhaaa Bullava umenichekesha ila umenifanya niwaze kwa upya....

Mmmhhh wanaume nyie mna mamboo
 
Mmh una roho mbaya wewe. Mara moja tu

Ni wanaume wengi humu wameniambia nina roho mbaya ila.... nimezidi kuwaelewa wanaume ....

Pia napata jibu la inakuweje mwanaume anambaka mtoto wake wa kumzaa au wengine hata wanakuwa kwenye mahusiano na watoto wao pamoja na kuzaa na binti zao.....

Nazidi kuwaelewa sana wanaume. ....
 
Naona kuna haja ya kuogea maji ya bahari yaliyochanganywa na magadi pamoja na ndimu...Nauli kwenda na kurudi ni kama 1.5M na kitu...sijui angepata mbunye ngapi kama angeziwekeza pale Hyena Stadium?
Hyena studium....
 
Kwako hazina mashiko ila kwangu hizo sababu zinc mashiko sana..... kwangu umri ni jambo muhimu sana.
Mhhh,

Moyo wako siyo wa kibinadamu kasinde.

Nahisi utakuwa mwanamke wa kikurya ambao hawana hata chembe ya huruma.

Hakika Mimi ungeniua pale pale. Gharama yenyewe ya Tz to Bondeni ningewapata wachuchu wengi tu.

Tz to bondeni kwa Mzee madiba halafu unizingua eti kalale lodge!!!

Kasinde my lovely sista kuwa na huruma na huyo jamaa hata kidogo tu.

Tone moja la Maji halileti mafuriko kasinde.
Mpe tu kidogo roho yake iwe nyeupe.

Please just dance wisely..kasie!
 
Mhhh,

Moyo wako siyo wa kibinadamu kasinde.

Nahisi utakuwa mwanamke wa kikurya ambao hawana hata chembe ya huruma.

Hakika Mimi ungeniua pale pale. Gharama yenyewe ya Tz to Bondeni ningewapata wachuchu wengi tu.

Tz to bondeni kwa Mzee madiba halafu unizingua eti kalale lodge!!!

Kasinde my lovely sista kuwa na huruma na huyo jamaa hata kidogo tu.

Tone moja la Maji halileti mafuriko kasinde.
Mpe tu kidogo roho yake iwe nyeupe.

Please just dance wisely..kasie!

Yaani nazidi kuwaelewa wanaume kila uchao. ...
Wakati nyie mkifikiria gharama... mie nafikiria utu wangu na heshima ya undugu.....

Kama tatizo ni pesa ntamrudishia gharama hata mara tatu yake ila tuu asijilete tena akitaka nimpe sambusa yangu akuu.
 
kuna siku utakuja lainika na kujikuta ndani ya 18 ya.binamu. Acha kupoteza muda, kubali yaishe tu.
 
kuna siku utakuja lainika na kujikuta ndani ya 18 ya.binamu. Acha kupoteza muda, kubali yaishe tu.

Na hiyo siku isifike milele, ntalainika kwa wengine ila ndugu hapana.... dhambi bana hata vitabu vya Mungu vimekataza kulala na umbu lako - dada/kaka yako.
 
Vita ya kitu gani...? Nimetangaza vita na nani?

Na binamu yako, hatoishia hapo. Anachokifikiria yeye kuwa ni mahaba juu yako kitaanza kubadilika kuwa kitu lingine baada ya huu mkasa wa safari yake. Kama walivyopendekeza wengine, ungemweleza kiungwana hata kama asingeelewa lakini isingempa machungu.
 
Kuna kipindi binamu yangu alinisumbua sana, nikamwambia wewe ni Dada yangu, akaja na hadithi eti mbona wahidi na waarabu wanaoana? Nikamwambia yao ni wahindi na Mimi ni Mimi. Kwenye jamii yetu itatushangaa. Sikukubali
 
Back
Top Bottom