Binamu Nyama ya Hamu..

Binamu Nyama ya Hamu..

Kwa maana kwamba angekuwa sio binamu ungempa ama?
 
Haa kuna binamu yangu mmoja kipindi hiko 2010 tulikutana nae dar kwenye harusi ya sista angu Sa alitokea kunipenda kweli.. Sa pilika pilika za harusi mishughuli kibao vijana tukawa tunaagizwa mara nenda kule kalete hiki nara kanunue kile Sa kila akitumwa ananiambia nimsindikize kila sehemu tunaenda tukifika mbele mbele ya usindikizo ananichombeza mi nazingua naona aibu ya ule utoto utoto si akanivuta nakunikumbatia akashika nyonyo niliruka hatare nikasema tu wee kaka Gody niiniii akaniacha..aliona soo
 
Hivi huwa unawaza nini wewe kasinde? Nikikumbuka catch me if u can na nyingine nyingi nahisi kuna kitu huwa unatafuta
 
Kasie.

Sababu ulizozitoa hazina mashiko hata kidogo kwa sababu udogo ni kivumishi tu.

Mapenzi hayaangalii ubinamu wala nini cha msingi anaweza mambo na atakupeleka unapopataka.

Muelewa huyo binamu yako mamii kasie.
 
Hivi huwa unawaza nini wewe kasinde? Nikikumbuka catch me if u can na nyingine nyingi nahisi kuna kitu huwa unatafuta
Siwazi kitu hii ninayosemaga ni kuwa imenitokea kweli na hapo nimeelezea kilichotokea....

Sitafuti kitu chochote huwa naelezea yaliyonisibu, na haya nnayoelezea sio yote kuna mengine siyasemi.
 
Kasie.

Sababu ulizozitoa hazina mashiko hata kidogo kwa sababu udogo ni kivumishi tu.

Mapenzi hayaangalii ubinamu wala nini cha msingi anaweza mambo na atakupeleka unapopataka.

Muelewa huyo binamu yako mamii kasie.

Kwako hazina mashiko ila kwangu hizo sababu zinc mashiko sana..... kwangu umri ni jambo muhimu sana.
 
Wewe unafkiri hilo zari la kufuatwa lingemtokea kidume, unajua nini kingetokea????
Ndo maana wanasemaga wanaume wanatoka sayari ya Mars na wanawake sayari ya Venus......
Matokeo lazima yapishane. ...
 
Habari za usiku note,
Natumai mwisho wenu wa wiki unaenda vizuri.

Bila kupoteza maudhui, hii ni kali kuliko sigara looh....

Humu JF ndo nimekutana na binamu nyama ya hamu. Na hii imedhihirisha atafutaye hachoki akichoka keshapata. Kuna binamu yangu wa mbali kidogo mie bila kujua wala kutambua kumbe ananipenda bana, na pendo hilo sio nwee wala nwii ni pendo la mapenzi. Mie najua utani tuu, alipoona simuelewi si akaanza kunifukunyua.... akajua ID yangu ya JF na akaanza kunichombeza. Nilimpotezea nikijua ni milupo ya humu JF hakukata tamaa.... mwaka mzima ananifukuzia nikasema isiwe shida njoo SA as a date kisha baada ya hapo tutaona itakuwaje. Akaniambia hataki kufikia hotelini na akasisitiza afikie kwangu.
Nakatisha maelezo na kiufupi ile nimetokea Ortambo airport kumpokea si ndo nashangaa ni binamu....... macho yalintoka. ...

Kwanza mdogo kwangu miaka 10 nikamwambia kwangu sikupeleki utafikia hoteli. Tumebishana nikamwambia ukiniletea mizengwe mi naomba emergency off days naenda zangu TZ nakuacha hapa. Ndo akakubali kufikia hoteli.... baada ya majadiliano ya kina.... binamu akataka nyama ya hamu.

Nilijikuta nampiga keleb moja (kibao cha shavuni) kisha nikamtukana na kuondoka. Binamu kanichefua maana mi simpendi na ni mdogo kwangu halafu anaanzaje kuwaza ngono kwa binamu yake ambaye ni sawa na dada yake?
Nimemblock kwenye njia zangu zote za mawasiliano na amenifanya mawasiliano yoyote yanayonitafuta ambayo siyafahamu basi sijibu wala sipokei yaani nakacha.
Sitaki hata kujua kama bado yuko SA au ameshaondoka.... maana alikuja jana jioni.

Au mie sikuelewa nyama ya hamu ni nini labda kama sio matusi? Mnisaidie kunielewesha ......

Kasie.
Daaah, huyo binamu kala hasara ya nauli na gharama nyingine... Kumpunguzia machungu mlipie nauli ya kurudi basi... Si nanihii umeshamnyima? Au kama vipi mtengee akojolee hapo kwenye madhiwaaa amalize nyege zake...
 
Daaah, huyo binamu kala hasara ya nauli na gharama nyingine... Kumpunguzia machungu mlipie nauli ya kurudi basi... Si nanihii umeshamnyima? Au kama vipi mtengee akojolee hapo kwenye madhiwaaa amalize nyege zake...

Waalaah hapati chochote ntafanya kitu kingine ila si kulala na binamu yangu wa kiume.... naah
 
Back
Top Bottom