Binamu Nyama ya Hamu..

Binamu Nyama ya Hamu..

You can emagine... unawasiliana na mtu kisha unaomba picha yake halafu anakutumia ya mbaba tuu hata hawahusiani. .... fake picture...

Huyo cousin wako muongo kwanza.

Huyo mbaba wa kwenye picha ulimkubali lakini eeh?
 
Mhhhh! It is a new era whereby under 25 YO are also included in Granny group.

Sijazoea small sizes..... huwa nikijua napotea tuu mbele yao. Napenda age mate and above my age... wachonge mzinga kwa waschana wenzao sio mie granny. ..
 
Mhhhh! It is a new era whereby under 25 YO are also included in Granny group.
They can be included in any other granny group but can not be with granny Kasie.
 
Okee nimekuelewa. ... ntakitahidi kushusha hasira nimweleze.... akinielewa well and good, akileta nyimbo zake tena nampa keleb ingine....
Hee! Keleb jingine. Kama umemzidi umri ni added advantage sana. Usimpige jaribu kuresolve kiutu uzima zaidi. Kama unamguide hivi atakuwa in denial kukubali ukweli ila hamna kitu kinachomshusha mwanaume kama kuwa undermined kwasababu ya umri. Having said that i wish u best of luck!
 
Huyo cousin wako muongo kwanza.

Huyo mbaba wa kwenye picha ulimkubali lakini eeh?

Ni muongo kabisaa....
Nilimkubali ndio maana hakuwa ndugu yangu... I take him as new crush until I met the cousins at airport.
 
Hee! Keleb jingine. Kama umemzidi umri ni added advantage sana. Usimpige jaribu kuresolve kiutu uzima zaidi. Kama unamguide hivi atakuwa in denial kukubali ukweli ila hamna kitu kinachomshusha mwanaume kama kuwa undermined kwasababu ya umri. Having said that i wish u best of luck!

Thanks nimekuelewa sana....
 
Habari za usiku note,
Natumai mwisho wenu wa wiki unaenda vizuri.

Bila kupoteza maudhui, hii ni kali kuliko sigara looh....

Humu JF ndo nimekutana na binamu nyama ya hamu. Na hii imedhihirisha atafutaye hachoki akichoka keshapata. Kuna binamu yangu wa mbali kidogo mie bila kujua wala kutambua kumbe ananipenda bana, na pendo hilo sio nwee wala nwii ni pendo la mapenzi. Mie najua utani tuu, alipoona simuelewi si akaanza kunifukunyua.... akajua ID yangu ya JF na akaanza kunichombeza. Nilimpotezea nikijua ni milupo ya humu JF hakukata tamaa.... mwaka mzima ananifukuzia nikasema isiwe shida njoo SA as a date kisha baada ya hapo tutaona itakuwaje. Akaniambia hataki kufikia hotelini na akasisitiza afikie kwangu.
Nakatisha maelezo na kiufupi ile nimetokea Ortambo airport kumpokea si ndo nashangaa ni binamu....... macho yalintoka. ...

Kwanza mdogo kwangu miaka 10 nikamwambia kwangu sikupeleki utafikia hoteli. Tumebishana nikamwambia ukiniletea mizengwe mi naomba emergency off days naenda zangu TZ nakuacha hapa. Ndo akakubali kufikia hoteli.... baada ya majadiliano ya kina.... binamu akataka nyama ya hamu.

Nilijikuta nampiga keleb moja (kibao cha shavuni) kisha nikamtukana na kuondoka. Binamu kanichefua maana mi simpendi na ni mdogo kwangu halafu anaanzaje kuwaza ngono kwa binamu yake ambaye ni sawa na dada yake?
Nimemblock kwenye njia zangu zote za mawasiliano na amenifanya mawasiliano yoyote yanayonitafuta ambayo siyafahamu basi sijibu wala sipokei yaani nakacha.
Sitaki hata kujua kama bado yuko SA au ameshaondoka.... maana alikuja jana jioni.

Au mie sikuelewa nyama ya hamu ni nini labda kama sio matusi? Mnisaidie kunielewesha ......

Kasie.
Sasa haya unatuambia sisi tufanyaje kama umempiga kibuti siukae kimya mbona ulio wapa hiyo mambo hapo kati hukusema,upuuzi tu huu
 
Habari za usiku note,
Natumai mwisho wenu wa wiki unaenda vizuri.

Bila kupoteza maudhui, hii ni kali kuliko sigara looh....

Humu JF ndo nimekutana na binamu nyama ya hamu. Na hii imedhihirisha atafutaye hachoki akichoka keshapata. Kuna binamu yangu wa mbali kidogo mie bila kujua wala kutambua kumbe ananipenda bana, na pendo hilo sio nwee wala nwii ni pendo la mapenzi. Mie najua utani tuu, alipoona simuelewi si akaanza kunifukunyua.... akajua ID yangu ya JF na akaanza kunichombeza. Nilimpotezea nikijua ni milupo ya humu JF hakukata tamaa.... mwaka mzima ananifukuzia nikasema isiwe shida njoo SA as a date kisha baada ya hapo tutaona itakuwaje. Akaniambia hataki kufikia hotelini na akasisitiza afikie kwangu.
Nakatisha maelezo na kiufupi ile nimetokea Ortambo airport kumpokea si ndo nashangaa ni binamu....... macho yalintoka. ...

Kwanza mdogo kwangu miaka 10 nikamwambia kwangu sikupeleki utafikia hoteli. Tumebishana nikamwambia ukiniletea mizengwe mi naomba emergency off days naenda zangu TZ nakuacha hapa. Ndo akakubali kufikia hoteli.... baada ya majadiliano ya kina.... binamu akataka nyama ya hamu.

Nilijikuta nampiga keleb moja (kibao cha shavuni) kisha nikamtukana na kuondoka. Binamu kanichefua maana mi simpendi na ni mdogo kwangu halafu anaanzaje kuwaza ngono kwa binamu yake ambaye ni sawa na dada yake?
Nimemblock kwenye njia zangu zote za mawasiliano na amenifanya mawasiliano yoyote yanayonitafuta ambayo siyafahamu basi sijibu wala sipokei yaani nakacha.
Sitaki hata kujua kama bado yuko SA au ameshaondoka.... maana alikuja jana jioni.

Au mie sikuelewa nyama ya hamu ni nini labda kama sio matusi? Mnisaidie kunielewesha ......

Kasie.
Mmmmm hii haiko sawa ila mm mgeni jaman apa SA!
 
Under 25 YO Granny Kasie, you're too young to include yourself in that group Kasie.

They can be included in any other granny group but can not be with granny Kasie.
 
toka kwa Nyerere hadi kwa Madiba, halafu akaambulia kelebu, 🙂 🙂 kaaaaazi kweli kweli
Hizi mbunye zinatutesa sana mkuu. Mimi nilishasafiri kutoka San Francisco mpaka Maine kufuata mbunye kisa tu eti binti mzungu. Yaani Msukuma nipo kwenye ndege 6hrs+ kisa naenda kuonja mzungu. Baghosha!

Halafu unafika unaambulia la kelbu duh!
 
Kuna binamu wangu mmoja alinitaka nikamuonea huruma lakini naona anapendeza siku hizi😵 Akinikalia sawa nitamuosha kwenye mnara.😉
 
Hizi mbunye zinatutesa sana mkuu. Mimi nilishasafiri kutoka San Francisco mpaka Maine kufuata mbunye kisa tu eti binti mzungu. Yaani Msukuma nipo kwenye ndege 6hrs+ kisa naenda kuonja mzungu. Baghosha!

Halafu unafika unaambulia la kelbu duh!
Hahahaha halafu mzungu wenyewe kabati(mtoto wa Tembo😱) San Francisco mpaka Maine si 10 hrs mkuu au hio non stop.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hahahaha halafu mzungu wenyewe kabati(mtoto wa Tembo😱) San Francisco mpaka Maine si 10 hrs mkuu au hio non stop.
Mzungu alikuwa classmate wangu. Alikuwa binti mzuri sana kimodo modo hivi miguu imeshiba kiuno chembamba na kitako lensi mbinuko kiaina. Nilimpenda kwa ajili ya tabia yake ya utu. Basi tumefunga Spring break kaenda kwao wakati huo sijamtongoza kwa sababu ya woga japo dalili zilikuwa wazi. Akanipigia simu njoo home Maine upumzike Spring break. Mamake alikuwa single mom na wakati ule alikuwa na terminal cancer ya matiti alikuwa hospitalini. Ngosha chapu chapu nikatafuta tiketi aisee safari ndefu kishenzi. Two stops 11hrs+ mpaka nikatinga Maine usiku. Maisha haya we acha tu. Si ajabu niliacha Wasukuma huko Maine aisee. Namkumbuka Gretchen jamani!
 
Duh.

Kuna mbaba kashakubaliwa lakini hata hajui.

Hahahahahahaaa Kiranga acha uchokozi....
Siku hizi umeacha ukali? Maana ulikuwa mkali hadi nikawa naogopa hata kuku quote......

Ni kweli huyo mbaba hajui kama kakubaliwa, si unajua crushes za Kasie. ...
 
Kuna binamu wangu mmoja alinitaka nikamuonea huruma lakini naona anapendeza siku hizi😵 Akinikalia sawa nitamuosha kwenye mnara.😉

Weeeh huyo ni dada yako usimle. ... muachie shemeji yako akusaidie kumla. ...
 
Daah...huyo dogo ana ujasiri aisee, hajiulizi kuwa baada ya kufanya baadaye itakuaje?
 
Back
Top Bottom