Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,339
- 83,791
Kwanza kabisa nimesema wengi na siyo wote. Watu wengi wanaonunia iPhone wanafuata mkumbo ili tu aonekane naye ana iPhone lakini hawajui kuzitumia.Niambie criteria uliotumia kuonesha mtu fulani anafuata mkumbo?
Kwamba mtu akienda kununua iphone 13 pro max anafuata mkumbo ila wewe unaeenda kununua S21ultra hufuati mkumbo.
Umetumia nini kujua huyo wa iphone amefuata mkumbo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndiyo hao wanaolalamika kuwa oo iPhone sijui kila kitu ni cha kulipia mara kwenye iPhone hauna uhuru au hauwezi kufanya hiki na hiki kama kwenye android. Ukiuliza kwanini sasa umenunua iPhone hana majibu anajiumauma tu so waliofuata mkumbo wanajulikanaga tu.